Ndg zangu,
Ningependa kumshukuru MwenyeEnzi Mungu kwa nafasi ya kuona na kujifunza Tanzania.
Pia kwa mujibu wa imani zote upagani na dini mapokeo zote zinatamka laana ni mikosi na matukio mabaya ambayo ni matokeo ya jamii au wanajamii kuenda kinyume na misingi waliyiirithi.
Ndani ya utawala...
Kuna watu wananifaika na mgawo WA hista za uwekezaji ambazo ni muwekezaji na wazawa. Wazawa ni kinani? He baada ya kuondoka adui Yao mkubwa wapo tayari kuendeleza madai? Kifupi Bora upiganie tumbo kuliko kupigania Tanzania imejaa unafiki na mawazo ya kimaskini. Mtu asijiamini na kujitambua ni...
Kwanini Balozi za Marekani, Uingereza, EU na Canada hazijatoa tamko lolote kuhusu kukamatwa Mbowe?
Marekani, EU, Canada etc walikuwa na Mission eradicate Magufuri and his Economic policy. Mpango was done successful using akina Mbowe na Takata zingine. Mpango ulitumia gharama baada ya mpango...
Hii Dunia usipoijua hasa kukataa historia unapoteza Muda. Lipumba aligongwa virungu Kipindi cha IGP Mahita pale Kidongo Chekundu. Leo yuko wapi Lipumba na Mahita. Hili nalo litapita
Hii Dunia usipoijua hasa kukataa historia unapoteza Muda. Lipumba aligongwa virungu Kipindi cha IGP Mahita pale Kidongo Chekundu. Leo yuko wapi Lipumba na Mahita. Hili nalo litapita
Makelele mengi kushikiliwa kwa mbowe nadhani kuna kitu mnaficha kwenye mauaji ya viongozi wa serikali hata wewe hapo mwisho umesema BORA KAENDA. UNAUJUA MPANGO WA MAUAJI
Jeshi la polisi likishindwa kudhibiti mauaji ya viongozi na wapangaji wa mipango hakuna kiongozi wa atayekaa madarakani. Kwa nn Tundu Lisu harudi.......
Ukiona makelele mengi shikilia hapo hapo. Kuna kitu nyuma ya mauaji ya viongozi. Mama usiogope lazima Dunia ijue nyuma ya pazi mauaji ya viongozi
Nani aliratibu mpango huo.
Ukiona makelele mengi shikilia hapo hapo. Kuna kitu nyuma ya mauaji ya viongozi. Mama usiogope lazima Dunia ijue nyuma ya pazi mauaji ya viongozi
Nani aliratibu mpango huo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.