Search results

  1. M

    Nani alishauri wanase sauti zao na ziwekwe hadharani?

    Vyombo vya ulinzi na usalama vinaruhusu vp mtu aliye na kashifa kuwa waziri. Walifikiri Kuna kupona
  2. M

    Nani alishauri wanase sauti zao na ziwekwe hadharani?

    Hata robo mkasa bado
  3. M

    Nani alishauri wanase sauti zao na ziwekwe hadharani?

    Ndg zangu, Ningependa kumshukuru MwenyeEnzi Mungu kwa nafasi ya kuona na kujifunza Tanzania. Pia kwa mujibu wa imani zote upagani na dini mapokeo zote zinatamka laana ni mikosi na matukio mabaya ambayo ni matokeo ya jamii au wanajamii kuenda kinyume na misingi waliyiirithi. Ndani ya utawala...
  4. M

    Ni wakati sasa kwa Serikali kumuomba radhi Tundu Lissu aliyeshauri mapema kuachana na madai ya Barrick

    Kuna watu wananifaika na mgawo WA hista za uwekezaji ambazo ni muwekezaji na wazawa. Wazawa ni kinani? He baada ya kuondoka adui Yao mkubwa wapo tayari kuendeleza madai? Kifupi Bora upiganie tumbo kuliko kupigania Tanzania imejaa unafiki na mawazo ya kimaskini. Mtu asijiamini na kujitambua ni...
  5. M

    Rais ashauriwe apumzike kumnanga Rais aliyetangulia

    Kuna siku watasema sema kilichotokea. Hata CIA huficha Siri kwa miaka 50. Lakini kwao haitafika
  6. M

    Mkoa wa Pwani watoa Mawaziri watano kwenye baraza jipya; ni bahati mbaya au ndiyo tuseme sasa zamu ya watu wa Pwani?

    1. Dr. Jaffo..kisarawe 2. Mchengelwa..Rufiji 3. Ridhiwani..Chalinze 4. Ulega..mkuranga 5.kipanga..mafia 6.Jumaa Aweso 7.Ummy Mwalimu 8.George Mkuchika 9. January Makamba 10.Nape Nauye 11. Masauni Masauni 12. Mwanaidi Hamis 13. Hamis Hamis 14. Makame Mbarawa 15. Mbaruk 16. Chande
  7. M

    Kwanini Balozi za Marekani, Uingereza, EU na Canada hazijatoa tamko lolote kuhusu kukamatwa Mbowe?

    Kwanini Balozi za Marekani, Uingereza, EU na Canada hazijatoa tamko lolote kuhusu kukamatwa Mbowe? Marekani, EU, Canada etc walikuwa na Mission eradicate Magufuri and his Economic policy. Mpango was done successful using akina Mbowe na Takata zingine. Mpango ulitumia gharama baada ya mpango...
  8. M

    Watesi wa Kabendera ni nani?

    Hii Dunia usipoijua hasa kukataa historia unapoteza Muda. Lipumba aligongwa virungu Kipindi cha IGP Mahita pale Kidongo Chekundu. Leo yuko wapi Lipumba na Mahita. Hili nalo litapita
  9. M

    Watesi wa Kabendera ni nani?

    Hii Dunia usipoijua hasa kukataa historia unapoteza Muda. Lipumba aligongwa virungu Kipindi cha IGP Mahita pale Kidongo Chekundu. Leo yuko wapi Lipumba na Mahita. Hili nalo litapita
  10. M

    #COVID19 BBC na Corona: Kenya tayari ina deni la $ 1.5 bilion za Marekani, Tanzania haina deni lolote hadi sasa

    Hayo makaburi ya halaiki yapo wapi? Mtanikumbuka but too late to rise him
  11. M

    Tutafakari juu ya hili

    Makelele mengi kushikiliwa kwa mbowe nadhani kuna kitu mnaficha kwenye mauaji ya viongozi wa serikali hata wewe hapo mwisho umesema BORA KAENDA. UNAUJUA MPANGO WA MAUAJI
  12. M

    CNN ni sehemu ya CIA: Mtazamo wao kuhusu Serikali yetu ni mtazamo wa Jumuiya ya Kimataifa. Tusiwapuuze!

    Mabeberu wanatakaficha kitu kwenye mauaji ya viongozi wa serikali
  13. M

    Watanzania tuwe makini na vyombo vya habari vya Kibeberu. CNN wazusha kukamatwa kwa Freeman Mbowe ni amri ya Rais Samia!

    Mabeberu kuna kitu wana wanatakakuficha kwenye mauaji ya viongo wa serikali.
  14. M

    CNN ni sehemu ya CIA: Mtazamo wao kuhusu Serikali yetu ni mtazamo wa Jumuiya ya Kimataifa. Tusiwapuuze!

    Jeshi la polisi likishindwa kudhibiti mauaji ya viongozi na wapangaji wa mipango hakuna kiongozi wa atayekaa madarakani. Kwa nn Tundu Lisu harudi.......
  15. M

    CNN ni sehemu ya CIA: Mtazamo wao kuhusu Serikali yetu ni mtazamo wa Jumuiya ya Kimataifa. Tusiwapuuze!

    Ukiona makelele mengi shikilia hapo hapo. Kuna kitu nyuma ya mauaji ya viongozi. Mama usiogope lazima Dunia ijue nyuma ya pazi mauaji ya viongozi Nani aliratibu mpango huo.
  16. M

    CNN ni sehemu ya CIA: Mtazamo wao kuhusu Serikali yetu ni mtazamo wa Jumuiya ya Kimataifa. Tusiwapuuze!

    Ukiona makelele mengi shikilia hapo hapo. Kuna kitu nyuma ya mauaji ya viongozi. Mama usiogope lazima Dunia ijue nyuma ya pazi mauaji ya viongozi Nani aliratibu mpango huo.
Back
Top Bottom