walimu wenye div 4 labda wa primary school, hamna mwalimu wa degree mwenye div 4 Tanzania labda kama amesoma SUA, Maana hata huyo anaechaguliwa kusoma Kilimo SUA anakuwa ameshindwa cutoff point UDSM hata za huo ualimu maana hakuna kilaza anachaguliwa UDSM. Acheni mbwembwe
Ukiwasikia hawa jamaa wanavojidai cjui wananyonywa na bara kama hujawahi fika unaweza kuamini kwamba zanz kuna kitu cha maana cha kunyonywa na Tanganyika! Hakuna lolote kule, Muungano hata uvunjwe saa hizi utasikia kelele zao na njaa maana hadi nyanya mpaka zitoke Tanga
Unaposema wamekwazwa na serikali iliyopo, unataka kusema watoto primary wanaandikishwa kwa kubagua dini!! acheni visingizio maadili pia ya kuwasimamia watoto wenu wapende shule ni jambo la muhimu, serikali kazi yake ni kuajiri walimu tu, tmizeni wajibu wenu.
Shida yenu mnapenda sana kutafuniwa mambo, mnatamani kupewa bure kila kitu. Wakati wenzenu wakitoa sadaka na kujiminya kujenga makanisa, shule ,hospital na vyuo pamoja na kuwasomesha viongozi wao wa dini ili wawe na upeo wa kupanga mipango ya kusaidia jamii yao, nyinyi mnapiga majungu yasiyo na...
Bwana Rejeo,Ingekuwa unayosema ni ya kweli madudu hayo yangeibuliwa na kamati za kisecta zinazo simamia wizara mbalimbali ambazo zote ukiacha hizi 3 zinaongozwa na magamba wenzio, na hao magamba wenzio kwenye zile kamati za wapinzani hawana la kufanya inabidi waende na mawimbi hayohayo
Kwa muda mrefu tumekuwa tukisikia kutoka kwa viongozi hasa wenye kuogopa wimbi la weledi wa vijana katika siasa mpya zinazotegemea facts na akili za kichambuzi zaidi kuliko propaganda mfu, wamekuwa wakijaribu kuonyesha kutuaminisha kwamba vijana wakiwa vyuoni kushiriki kwao katika mijadala ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.