Ivi tumokosa maneno ya kufikiria ya maana tunakaa kujadili kitu ambacho kimekwisha ondoka wt is lulu and wat is kanumba katika maisha yako au mmeathirika nini katika maisha yenu?
Pia mh mdee ana haki ya kusema pia vile mh bulaya nae ana haki ya sema
poeples mambo ya kanumba tuyaache tujadili...
mi navyojua kuwa kwass CHADEMA imekuwa na mvuto kwa wananchi wa Tanzania ivyo basi kutumia chopa siyo vibaya ila nilikuwa naomba tupite mikoa yote tuchangishe ili tuweze jenga ofisi zilizo bora mpaka vijijin ambazo ccm walisema walijenga wao wakati tulijenga wananchi watanzania na omba sana kama...
kwaili naona kama tukienda mahakamani itakuwa fundisho tosha kwani alifikiri watu wa arumeru ni wajinga kama kwao inamanisha ata alipopata ubunge alitumia matusi so tusimulaum sana inapaswa kuangalia chanzo chake cha akili pia anapotoka
kweli tunapaswa kuwa makini sana na mienendo yetu ya tume pia uelimishaji mzuri ili watu waelewe nini maana ya kura na nini maaana ya kampeni ivyo ni dhaili shairi kuwa kutokana matukio ya kuvumishiwa habari mbalimbali ya uonevu ndo chanzo cha watu kutokwenda kupiga kura au kwenda kwenye vituo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.