Habari wakuu,
Kilio changu naomba niungwe mkono na wakazi wote pamoja na watumiaji wa barabara ya Mbezi kwenda Makabe kupitia katika viunga vyake vyote vya shule ya St Ann's, Madukani, Kwa Brigenda, Post, Njia panda mpaka huko mwisho Makabe. Kilio hiki ni ubovu uliokithiri wa barabara hii...
Yaani wewe huyo binti wa watu ulimtumia sana na ndio maana unapata shida ya kujilipua kila mara. yaelekea ulimgeuza mke kabisa alafu unamdump? wewe mbaya sana. umeharibu mwelekeo wa binti wa watu. Hizo sababu za kumuacha hata hazina mashiko. sasa ulitegemea binti atajitimiziaje mahitaji yake...
Hii ni aibu kubwa kwa bunge la nchi huru na yenye kujivunia amani. Sijui wabunge wetu mnaotuwakilisha mmeipokea vipi hii katuni na mmejifunza nini kutokana nayo?????
Kiti moto ilishasemwa siku nyingi kwani wewe huna habari? Kitimoto inatakiwa ipikwe kwa masaa 8 ndio unaweza sema imeiva na wadudu waliopo ndani ya nyama iyo wanakuwa wamekufa. Vinginevyo hao wadudu hawafi na huleta madhara kwa binadamu km wewe ni mlaji wa kitimoto mara kwa mara
Mheshimiwa inabidi ufwatilie kote mana si goba tu, kuna mbezi makabe huko hakujawahi ona maji ingawaje mabomba yapo. Kibamba zamani maji yalikuwa hayakatiki lakini siku izi yanakatika mara kwa mara, huko tuendako yataishia kabisa kama ilivyo kwa kimara
Mdogo wangu we nenda katafute certificate course yoyote uipendayo uanze nayo ili upate ujuzi na iweze kukusaidia kusonga mbele, huwezi jua waweza fika degree kama kweli una malengo ya kusoma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.