Shirika ambalo nina 3month wananizungusha mafao yangu? hilo ndio unasema shirik lenye tija? Hamna mchangiaji mwenye experience nzuri na NSSF linapokuja kufuatilia mafao yake. Mbaya zaidi kuna syndicate imejengwa pale hadi officers wanafanya udalali wa umpe kidogo ili aweze kimbiza faili lako
Hatari sana. Nadhani pia kasumba iliyojengeka kwa muda mrefu itaanza futika taratibu. Mama alihisi anafanya shughuli ya chama tena kwa mazoea. Nadhani itawatia adabu wengine.
Hili limekuja kufahamika baada ya maamuzi yasiyotarajiwa ya mahakama kuhusu pingamizi la Zitto dhidi ya CHADEMA. Ni kweli mahakama imetupilia mbali pingamizi hili n hivyo kufanya Chama kirejee katiba inayohalalisha kumfukuza uananchama Zitto kwa kosa la kukipeleka chama mahakamani.
Ifahamike...
Pale sheria zinapozidi utashi wa kisiasa.
Katibu na Mwanasheria mkuu wa kampuni ya ufuaji umeme ya IPTL, Bw. Joseph Makandege akiwaonyesha waandishi wa habari (hawapo pichani) nakala ya hukumu iliyotolewa na...
The High Court of Tanzania has ordered Standard Chartered Bank (Hong Kong) Ltd and Tanzania Electricity Supply Company (TANESCO) to stop interfering with quiet and peaceful ownership, possession, management and administration of Mr. Harbinder Singh Sethi's Power Plant at Tegeta, pending hearing...
UNGEKUWA NA DHAMANA YA KUAMUA KODI IWEPO AU LA BILA SHAKA WAWEKEZAJI WANGEKULA GOOTYM SANA. Nchi haziendeshwi hivyo unavyodhani........! With tym utafahamu
"Ukiiangalia vizuli hii picha utagundua kitu katika macho ya Frola Mbasha kuna kitu nakiona kinejificha lakini sasa hivi kimeshajitokeza tayali.....hicho kitu ndicho kilichompeleka jera mbasha na asipokuwa makini anaweza asiwe uraiani tena kama ulivyowatokea familia ya nguza .namaanisha mzee...
Mkullo anena kuwa hakuhusika katika kuidhinisha uuzwaji wa kiwanja hicho.
Anadai miezi mitano baada ya yeye kuondolewa ndipo ambapo mkataba wa mauziano ukasainiwa
Anazidi kudai kuwa sakata la kiwanja No 10 ni kubwa kuliko hili la UDA
Ni katika mchango wake bajeti ya wizara ya fedha leo.
In service to the nation, I will not tolerate one day more if a Cabinet Minister or civil servant takes what does not belong to them. Next time you see a cabinet minister arrested, do not be surprised. My cabinet shall live up to this principle of being accountable to the people.
I want...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.