Unless labda kama huyo jamaa mnafahamiana na mmeamua kutu- confuse, vingine kama kweli uko serious achana na huyo jamaa, argument zake ni za kibwege na kichawa chawa. Angalia hata Hilo jina analotumia, ni ama Kuna kitu anawinda au kama siyo hivyo basi atakuwa ni punguani mbumbumbu mzungu wa...
Halafu Hawa chawa akina Msigwa, Ndumbalo wanatufanya saa nyingine tuombee hata hizi timu zetu Bora zifungwe. Yaani maneno yao mara Mh Rais mara nyonyonyonyo yanakera sana. Yalishatutokea 1993 wakati Mzee Mwinyi alipotaka kutafuta sifa za Bure tulifungwa na Stella. Afadhali Hawa jamaa wakae kimya...
Wewe nawe Kumbe hamna kitu, wenyeviti na wajumbe wa Bodi hawana mishahara. Hupata pesa kama kiinua mgongo Fulani kila baada ya miaka mitatu ambao ndiyo muda wa Bodi kuwapo madarakani. Na wengine huigawa Kwa tatu Ili kila mwaka wapate chochote. zaidi ya hapo ni posho ya vikao.
Mtumwa wa akili wewe, hizo zote ni Dini za kuletewa. Waliokuletea huo uislam ndo waliokuaminisha hivyo lakini huna uhakika na lolote zaidi ya kumezeshwa hiyo imani unless labda kama wewe ni mwarabu.
Shambulizi la Tundu Lissu lilikuwa baya na ni sawa na shambulizi la Dr. Ulimboka na akina Kibanda, hata hivyo finally Hawa wote wapo hai. Lakini Shambulio baya zaidi ni lile mfano la General Kombe, Mwangosi na Dr. Mvungi maana Hawa walishambuliwa Hadi kufa Tena enzi zisizokuwa za JPM.
Makonda hata awe mjinga vipi hawezi kulinganishwa Kwa vyovyote na Manara. Makonda ana sapoti ya watu kibao, wakiwa ni watu wajinga ama la hiyo siyo issue. Ila Manara kuwa mjinga hiyo ni issue yake. Na Kwa kweli kijamaa hakina akili.
Anzisha TV yako Ili kucha kutwa uwe ukihojiana na Tundu Lissu au yeyote unayemuona bila yeye maisha hayawezi kwenda. Usitoe matusi Kwa Mali ya watu au wewe mwenyewe nenda ukamhoji, Kwani lazima wasafi.
Haya tufanye Magufuli hakuchaguliwa, basi alishiriki kwenye kupigiwa kura. Hayo mengine ya kutuliza nchi na kutotekwa hizo ni ngonjera za kufunika madhaifu.
Nani kakuambia tunahitaji kuongozwa kizembe zembe kama ilivyo sasa? Fuatilia mikutano ya makonda ili ujionee, watu hawahitaji vijineno laini laini huku wakiendelea kuteseka. Wanahitaji lugha Kali itakayowatisha watu wabaya.
Hakuna anayekwenda kupanga foleni ya kupiga kura ati Ili amchague makamu wa rais na after all kile kibox Cha kuweka tick au x Huwa kipo Kwa rais pekee. Makamu wa rais ni by the way na Kwa hivyo ni sahihi sana watu wakisema rais wetu wa sasa hajachaguliwa na yeyote
Wewe Hayo makanzu unayaona ndo ustaarabu? Huo nao ni ujima b'se yamevaliwa tangu miaka ya nyuma zama za mawe na Bado unayang'ang'ani ati tu ni vile yanavaliwa na waarabu ambao Kwa ujima na ujinga wako unawaona viumbe wa daraja ya juu Kwa kivuli Cha Dini ya kikoloni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.