Nassari nakutaka uwe muungwana tu, maana majibu yako ya leo kuhusu kauli zako ni yakuzungukazunguka kwani utaheshimika sana na utaonekana muungwana kama utaomba radhi Wanzania kwa kauli zako za NMC.Mimi ni muumini wa CDM na viongozi wake kwani ni watu makini sana na ni watu wa kujenga hoja sio...
Hata Mimi sijufurahishwa na kauli ya Nassari na una unapofananisha issue yake na watu Kama jussa ambaye watz tumempuuza unataka Nassari na yeye apuuzwe? Naunga mkono hoja ya kuomba radhi kwani cdm kuna watu makini wa kauli zao. Dr Slaa Nakuomba umpe assigment kamanda Myika ya kumsuka Dogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.