Tatizo la Zitto uwa anadhani yeye ana akili kuliko watanzania wengine ni mwanasiasa wa kutokuaminika ni kati wa wanasiasa ambao wanapigania kupata sifa nyuma ya hoja ya uzalendo.
Anavuna alichokipanda shauli yake, hivi akisimamishwa sehemu aseme ameishaifanyia hii nchi nini atasema nini? hivi ni mijadala mingapi ilitokea bungeni na yeye akiwepo lakini akakaa kimyaaaaaa bila kufunga mdomo kuonesha uzalendo na kukemea wizi na ubadhilifu halafu leo anajiweka kwenye first...
Kabla ya kutaka kujustify faida aliyoleta ni kiasi gani tuangalie tofauti ya mshahara na marupurupu yake na wafanyakazi wengine hasa kada ya chini halafu uniambie kama hiyo faida ingeweza kupatikana bila team work ya wafanyakazi wote.
Mbona unajichanganya aisee sasa ugolden unatokea wapi kama hakuna ata mmoja amepata mafanikio ya kutangazwa kama walipopandishwa hawajafanya chochote cha maana.
Na mimi nachokuchallenge kama hiyo ilikuwa golden generation ya Simba B mbona walipopandishwa kwenye timu ya wakubwa hawakupata mafanikio na ata kupata mafanikio binafsi.
Kwa hiyo kama maafisa ardhi wanafanya makosa waadhibiwe bila kufata taratibu sababu ulishawahi dhurumiwa kiwanja kuna siku huyo mkuu wa wilaya atatumia sheria vibaya kukuweka ndani wewe kisa anataka usiku alale na mke wako nadhani hapo ndio utaelewa madhara ya utawala usiofata sheria.
Hivi unaweza kuwaita Golden Generation wakati hawajawahi kuipa ubingwa wa ligi ya vodacom ata kuwa wapili washiriki mashindano ya kimataifa acheni kujidanganya na kutumia maneno mazito kwenye hizo takataka zenu.
Unajua sheria ni taaluma ya watu na ukisoma maelezo ya mtatiro yapo very authoritative kataja vifungu na kuchambua sasa wewe mbumbumbu wa karne unakuja na majibu ya mtaani si kila jambo lazima uchangie.
Tatizo huyu JM ana uchu sana na madaraka anawatumia vijana wa IT kumtangaza mimi mpaka leo sijui kalifanyia Taifa jambo gani la kumfanya ata awe mkuu wa wilaya.
Mikia acheni maswali mengi uzeni timu muache kukopa chapati kwa kaguduga, wewe uliyejipinda kuuliza maswali yote hayo unaweza kukuta sio mwanachama na hujawahi kuichangia timu ata elfu moja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.