Kwa kifupi elimu za wabunge wetu wengi ndo hizo. Hata speaker wenu ana high school tu, na kuna mpaka standard seven---mwenye muda ajaribu kupitia ya kila mmoja mmoja ataona hayo madudu. Vicent ana form IV hamuoni kwamba yuko juu kabisa ukilinganisha na Lusinde mwenye primary tu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.