Wadau poleni na majukumu ya kila siku.
Mimi ni mtanzania na hivi sasa niko ughaibuni kwa shughuli za kikazi na natarajia kurudi bongo(Dsm) mwezi ujao April. Nikiwa huku ughaibuni nimekuwa nikifanya mazoezi ya viungo kila siku kwenye Gymnasium jambo ambalo napenda kuendelea kufanya nitakaporejea...
Wadau poleni na mihangaiko ya kila siku. Mimi ni mdau wa karibu wa jamvini na spotrs kwa ujumla.kwa muda sasa nimekuwa ughaibuni na kipindi niko huku nimeanza mpango wa kufanya mazoezi ya viungo kwenye gym jambo ambalo nimetokea kulipenda sana. Back in Dar es Salaam ninaishi Tabata External...
Cha muhimu na uhakika fanya kupima baada ya miezi mitatu. Vile vile zikipita wiki tatu tangu u-do na huyo malaya halafu ukapata homa kali sana ya muda mfupi(siku moja au mbili) ujue umenasa...pole!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.