Mijutu ya CHADEMA utaijua tu kila kukicha wanamuwaza ZITTO tu, kwani mwanamke akimkataa mwanaume si anampotezea tu sasa miCHADEMA mmemkataa ZITTO sa kila siku mnamzungumzia yeye tu ya nini.... Tuachieni chama chetu bado ni kichanga tunakijenga jamani ACT-WAZALENDO oyeee
Hawa walimu wetu hawa nina mashaka nao lile tangazo halijasema kuwa ajira zenu zimesitishwa bali limesema kuwa "kuondolewa kwa muda majina" na wala sio kusitoshwa kwa ajira mbona nyie walimu hamjiamini mnaboa sasa embu jiaminini.
Mie nishahama Airtel kitambo now natamba na Zantel wiki kwa 1gb kwa sh1000 tu... Sasa na wao wakiongeza bei dahhhh sijui nitakimbilia wapi mana hili linchi hili arghhhhh..NB: Karibuni Zantel ila njooni polepole mana mkijazana kwa mkupuo watashtuka hawa jamaa itakuwa shida zile zile.
Jamani nilikuwa Tanga hizi siku za karibuni, nilichokutana nacho aisee dah! yani stendi kuu ya mabasi watu I mean wafanyabiashara maduka wanafungua saa nne na ukiacha ile funga fungua kwa ajili ya kwenda masjid... Dah hawa jamaa ni mamwinyi sana aisee.
Kuna mtu aliweka uzi kuhusu Tanga kama...
Akili zenu bado changa wote nyie mnao shindanisha vyuo, nadhani kama sio first years au second years basi ndo form six maana mngekuwa na kazi au biashara zenu msinge kaa kuzozana kuhusu hayo mambo.
Me nakumbuka nilikuwa nakopa sana ice cream kwa babu jinga then full kujificha kwenye manguzo yale ili asinione.
But nilivyo ingia standard 2 tukaamishwa wakadai shule inatakiwa kuwa kanisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.