Kweli watanzania kwa sasa wana akili hivyo Nape uwe na hoja za msingi kwani hoja hizihizi mlizipeleka huko Arumeru na matokeo yake mmeyaona,toeni sera watu hawapo tena kihivyo nyie CCM na Nape
Wamepata walichopanda,sasa warudi na huyo majmarefu wakajigange upya,kazi yao kutumia jina la Mwalimu vibaya kuwadanganya watu wazima kwa pipi huku wao wakichezea urithi wa nchi yetu.waelewe zama za ujinga zinaelekea mwisho,waje na sera na si propaganda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.