Shukran kwa kujitokeza kunisaidia ni Nursery School nahitaji watoto kuanzia miaka mitatu mpaka minne
Pia kama unaweza ukanieleza yote hayo nitashukuru kwani ndio chanzo cha kujua mengi hata nikitaka na day care centre nifanye pia >Ubarikiwe nasubiri makjibu yote hayo.
Wadau naombeni msaada wa kujua jinsi ya kuendesha Nursery School na taratibu za kuisajili kama kuna mtu anamchanganuo wa gharama zote hadi uanzishaji na mbinu mbalimbali za kukamata wanafunzi.
Wadau kwa mwenye notes za video za office application(microsoft wod,excel,powerpoint na access 2007) pamoja na Adobe products na coral drawing anisaidie
Nilizan utasema jogoo Kuchi,Singamaganzi au Bukin!!maana ndio kuku pure wa kienyej ninao wajua mimi nikisikia Australia najua hapo lazima kuna nusu mzungu nusu mswahili samahan ufafanuz kidogo mbegu ya Australia n kienyej pure?
Mkuu niPM details zako zaidi na za huyu Dada Joyce nifanye mihadi naye maana naenda mara ya 5 sasa kwa kupitia njia hizo nakwamishwa nikiwatajia shida yangu tu inaonyesha kama wameshaambiana hawa wa chini wanizungushe ili yasifike juu
Wadau mambo yanazidi kuwa magumu nimejitahidi kwenda Dodoma ila sipewi nafasi ya kuonana na wakuu mlioniagiza niwaone naomben ushauri wa nini chakufanya maana tunapoteza muda tu sipat muafaka tunafuatilia mambo hatujui mwisho wake utakuwaje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.