Mambo yashakuwa mengi kikubwa zaidi watu wengi bado kipindi wanachukua likizo kuona ndugu zao na familia zao, tatizo linakuwa kubwa Januari mambo huwa magumu mno ukiyawazia
Ndoa mambo mengi, mara nyingi mnabinyana alfajiri au asubuhi ila ile jioni ni bilabila yaani sio ishu, mkiwa na nguvu kila siku mnabinyana but mkiwa busy depends na hamu na moody mlizonazo, ingawa mkizinguana hapo ni tatizo kwenye unyumba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.