99% ni maziwa ya ng'ombe,waliwapa mikopo wafugaj ili wafuge ng'ombe wa maziwa so kila siku huwa wanapokea maziwa kutoka kwa wafugaj na hupimwa kabla ya kuhifadhiwa endapo yatagundulika ya maji hata kidogo basi huyo mfugaj hupigwa faini,baada ya kutengenezwa huongeze creem test ambayo ni almost...
na kupata cancer inatakiwa uwe na exposure ya kutosha,unaweza kutumia laptop kwa mapaja may be once a week,kumbuka tuna calculate cancer risk in term of life time exposure kwa ile ambayo ni chronic ondoa ile ya acute ambayo a single dose inakuletea cancer but for laptop radiation,il uwe muhanga...
wakuu natumia sumsung galaxy pocket nime install Android Window 7 via google play,inapiga mzigo fresh ila tatizo kwenye screen kuna maandishi yanasema UNREGISTERED,kijiregista ina cost ankara so pliz kama kuna mtu mwenye crack au mwenye kujua jinsi ya kuondoa hayo maandish without registration...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.