naona costa na mabasi mengi yamekodishwa ili kukusanya watu pande mbalimbali za ukanda wa kaskazini. pia toka jana wajumbe wa mashina wamekuwa wakigawa fulana na nauli kwa watu ili kuwashawishi.
kuna taarifa za malori 3 kutekwa na majambazi usiku wa kuamkia leo. madereva wamejeruhiwa kwa kuchomwa mwilini na vitu vyenye ncha kali pamoja na kutobolewa macho. kwa sasa malori na mabasi yamekwama baada ya wenye malori kuziba njia kati ya igunga na nzega wakilalamikia serikali kushindwa...
Leo mchana nape amepokea maandamano ya wale wanaojiita Wana cccm wa vyuo vikuu,lengo Lao ni kupongeza Kamati kuu.(source Chanel ten)
Haiwezekani na ni vigumu kuamini kwamba bado kuna wasomi vyuoni ambao wanaweza kupoteza muda wao kwa ajili ya kuunga mkono ubadhirifu unaofanywa na mawaziri wa jk,
habari za hivi punde ni kwamba kuna moto umezuka katikati ya jiji la Arusha maeneo ya Sabena. magari ya zima moto yameshafika na wanaendelea kupambana na moto huo,. chanzo cha moto bado hakijajulikana
:A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.