Thanks mkuu somehow nimekupata, but baada ya kuchukua damu nachanganya na utomvu kwa kupaka damu pale pale nilipochanja tunda AU ninakinga utomvu kutoka kwenye mti then ndo nachanganya na damu?naomba maelezo kidgo hapo na ninatanguliza shukrani mkuu!!
Habari zenu wanajamvi,,,nimeguswa na kufarijika na ugunduzi na uthibisho wa mmea aina ya MVUNGE kuwa dawa ya kurefusha na kunenepesha uume,huu ni wokovu kwa ulimwengu wa "free market",naomba mwana MMU yeyote anaejua jinsi ya kutumia huu mmea kwa namna yoyote ile afunguke kwa manufaa ya wanajamvi...
dah!mtanange ndo leo ko 2candikie mate,but naomba wakuu 2siwe mbali na thread kuendelea kunotice mwenendo wa refa na kujuzana,guwd luck 2 all!!!!!!:majani7::target::kev:
Shame on u!ni kashfa kubwa sana mwanaume kutumiwa!ww una2miwa!na ukifuatilia historia wa2 weng walio na historia ya kutumiwa huishia kuuawa il kuficha ushaid za wakubwa wao!so kama una2miwa narudia tena KAMA UNA2MIWA cku zako c nying!
Hata kabla ya kuisha kwa game ya chelsea jana dhidi ya wapinzan wao jana usiku,tayar wengi wa mashabiki walikuwa wana piga mahesabu ya fainali kati ya barcelona na atakaeshinda kat ya madrid na bayern,kwa kusema kuwa chelsea imeshatoka because inakutana na barca!je ni sahihi kusema hivo...
zaidi ya kumfaham ka mwasisi wa cdm sina info zozote za mzee wetu mtei!mwenye historia,cv zake na mikasa na info zake zaid atujuze tafadhali kwa manufaa ya 2siomfaham kiundan!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.