Je, mm nilimuoa Housegirl au....? Ndio maana mnaachika kwa kutojua majukumu yenu...Kwa hiyo chakula kikiwa kitamu nimsifie nani? Housegirl au ww (mke wangu)?
NAUNGANA NA WANA JF WENGINE KUWA ZZK NI MBINAFSI SANA. MARA ZOTE HUPENDA KUJIPAMBANUA KIBINAFSI-BINAFSI SANA. Swali:
1.Hivi ktk chama hakuna taratibu/vigezo vya kumpata mgombea wa urais?
2. Hivi ZZK katumia vigezo vipi kujua kuwa...
Another silly season for Zitto. Plz zitto usipime upepo kisiasa namna hiyo...tungetegemea ujikite kuleta vyanzo tangible vipya vya kuboresha maisha ya mtanzania than urais unaoutaka kupitia CDM. Think of synergism. Avoid being Contraversial. Very soon you wil be Shibuda part 2.
kamuulize Shibuda, CHADEMA ni taasisi na sio ZITO kama unavyotaka umma uelewe. Kama mnampenda mumchukue. watanzania wasasa ni critical thinkers...pole naona masaburi yanakuwasha.
Yaan Nchemba anajisifia Kuwa ni mchumi wa daraja A????? tena eti wa BOT???? NDIO MAANA SIKU HIZI BOT IPO KAMA MICROFINANCE coz kama wafanyakaz wenyewe ni kama Nchemba kaziiii kwelikweli. Alete hoja sio A, mbona hata Bana ni Dr, lakini inatusaidia nn wananchi.
Health Problems from Wearing Clothes Too Tight
Celebrities and every day people alike, have been squeezing into slimming, tight clothing for centuries. Whether it was corsets in the Victorian Age or skinny jeans in modern times, the fashion to be thin has been unsurpassed...
Join 10th April 2011
Posts 65
Likes Received 4
Likes given 0
Sio kosa lako kwa ulichokiandika. simple minds discuss people, great/critical minds discuss issues. Napata taabu sana kuishi na watu wa caribre yako.
Heri ukose vyote isipokuwa akili. Kipi kinaongeza hasira? Kulipoti kilichofanywa au kuchoma makanisa, mali,nk.? Hv hamkuwa na njia mbadala ya kuwasilisha kero zenu? Kemea anayembagua mwanadamu mwenzie kwa mwavuli wa dini, kabila, rangi nk. Umeandika matapishi tu hapa. Badala ya kuongelea...
SOMA HII AMEANDIKA GAMBA MWENZIO. LABDA ITAKUSAIDIA KIDOGO. KARNE YA 21 UNAONGELEA WATU???
KOSA LA CCM:
Ukiangalia vizuri, CCM haina uwezo wa kubaki madarakani miaka mitatu ijayo; ukiangalia vema CCM haiko madarakani hata sasa: Ukiangalia kwa umakini CCM haiko madarakani tangu miaka kadhaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.