Remember the song "MONEY CAN'T BUY YOU LOVE" ?? CCM Haiwezi kununua kila siku waipende it is as simple as that. Kijana wa leo ukisikika unashabikia CCM nenda kitengo cha akili ukapimwe!
Wewe unaiamini sana NEC ya matapeli hiyo. This country is better without "rubberstamp" organs like NEC! Wake up unazamaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
You can see the mentality of people who have been leading this country. They are simply living the past. Sasa bado. Kasikazini, nyanda za juu,Magharibi na sasa tunakwenda kati na mashariki. Uchaguzi ujao kama mafuriko vile hadi CCM watabaki wanaduwaa mbona watabiri wa hali ya hewa hawakuyaona...
Hivi Mungu mbona hatupendi wabongo. Waendelee kufa tuwamalize wote mjengoni maana kila uchaguzi tunagundua mbinu zao. Leo walikuja na kura wakidai wanaleta chakula kwa wasimamizi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.