Habari wadau.
Kuna huu ushuru ambao watu wenye magari wanalipishwa wanapokuwa wanaingia kwenye fukwe za bahari kwa maelezo kuwa ni ushuru wa halmashauri.
Nimemuhoji mmoja wa watoza ushuru ila hapa Mbezi beach ila majibu yake hayaeleweki.
Mi ningependa kujua, huu ushuru wanaokatisha kwa...
Habari ya mchana wakuu. Kuna mahali nimeona tangazo kwenye ukurasa wa kampuni fulani ila audio inayo play ni wimbo wa Taifa la Tanzania.
Naomba kufahamu, hii inaruhusiwa kisheria au kuna makatazo yake?
Ni ukweli usiopingika kuwa wachagga wamejikita kwenye utafutaji na hata kuwajengea watoto wao na wajukuu uwezo wa kutafuta mali. Ila kwenye swala la kuoa uchagani simshauri mtu wa jamii nyingine, japo unaweza kubahatika kupata mwenye tabia njema. Wao kwa wao wanabaguana, utaskia Mmarangu hataki...
Kuna mchungaji aliwahi kusema, "ukitaka kumuoa binti, muone mama yake" Mara nyingi vile binti atakavyokuwa ni kutokana na kile anachokiona baina ya wazazi wake. Tukubali au tukatae, tabia za watoto wengi ni urithi kutoka kwa wazazi. Kama mama anaamini kwenye ushirikina, halafu ukaoa binti yake...
Hapa ninavyosoma hii thread yako, inaita simu ya baba mdogo. Yuko kwenye 50s hapo. Ila kila week lazima atapiga kuomba elfu kumi/ishirini.
Bado ana nguvu kabisa za kufanya kazi, lakini naamini akili yake ameshaielekeza kwenye kuomba pesa ya kula. Niliwahi kumshauri walau aseme ni biashara...
Ninahitaji kiwanja maeneo ya Tegeta, Madale.
Ukubwa: sqm 450-500.
Budget: 15m.
Nitafurahi sana kama ntapata kutoka kwa mmiliki mwenyewe na kisiwe na migogoro.
Mwenye nacho naomba ani PM
Sababu zinazotolewa ni za kipuuzi sana. Wekeni utaratibu kuwa gari inaweza kuwa na terminal yake, lakini isondoke Dar bila kupita Stand kuu ya Magufuli. Happ mtafanya ukaguzi wenu wote kabla gari haijapewa clearance.
Saa saba usiku umshushe mtu Mbezi wakati bus linaenda uelekeo wake ni unyama wa...
Ni wakati sasa hizo kampuni za uagizaji magari zifikirie kuhamishia hizo stock hapa hapa. Sio mi naagiza gari halafu nishalipa pesa yangu nakuja kuambiwa gari ina shida, hivyo lazima itengenezwe.
Hizo gharama anafaa azibebe muuzaji, maake alinihakikishia kuwa gari iko sawa kabla sijanunua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.