Mimi nitaoa Uganda watoto wa Kiganda wanapiga goti nusu saa hajanyanyuka.Isee niliipenda hii kakangu ameoa Mganda kumuuliza anasema ndo utamaduni wao ni ishara ya upendo na heshima kwa mwenzi wako. Hawa wenzetu kizazi cha dot.com hawayajui haya na wazazi enzi za kina nyerere walikuwa wanafanya...
Huyu jamaa kuhukumiwa haraka amekiri makosa yake jambo ambalo umeirahisishia kazi mahakama angakana makosa yake ingeichukua haraka mahakama kutoa hukumu. Hata hivyo kesi hii is not the government interest case kama za kina Ulimboka na Mwangosi hizi zina masilahi na siasa za CCM ndo maana haziko...
Nchi zenye utajiri wa rasilimali ya Madini kama DRC Angola na Sierra Lione zimeathiriwa sana na makundi ya waasi ambao wamekuwa wakidhibiti migodi ya Madini ambapo wanapewa misaada ya zana za kivita na nchi za Magharibi then wao wanachukua madini na wananchi wanaishi kwa kukimbia nchi zao...
You have attempted your level best to express your leniency upon the victims but what you need to take into account is that the Tanzanian civilian take actions upon the victims because of irresponsibility of government law organs particularly policies. Laws do not work and civilians are tired of...
Mkubwa ni kama huyo demu siyo type yako so we fanya mchakato apatikane umpendaye zaidi. ungekuwa unampenda sana hiyo sababu unayosema inakukera wala hata usingeiona tatizo. Zaidi ungemuelimisha naye angekuelewa so fanya uamzi wa kweli kwenye kuchagua warembo hawa ila ukizunguka sana utamaliza...
Haaaa! Hasa hao wenye Inye kubwa wamevaa hizo transparent za kutait ndio wanaotuletea ajali mpaka magari yanagongana ci mnajua inye kaugonjwa ka most Men!.
Idadi ya raia waliouawa kwenye mikono ya vyombo vya dola kati ya utawala wa Mkapa na Kikwete inazidi kwa mbali sana idadi ya waliouawa na vyombo vya dola kwa zaidi ya miongo miwili ya utawala wa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.
Kiasi hicho pia kinazidi sana kile cha wale ambao hukumu ya kifo...
propaganda na porojo zenu tumezichoka sn nyie walalamishi barabara hiyo tutajenga na kura lazima mtupigie tu au humna macho? mbona tumeweza kujenga mwanza -dar tutashindwa hiyo njia ya panya?
Anachosema mkuu hapo ni sahii. Japo sijui kama yeye ni muathirika wa tatizo hilo au ana ukweli wa watu wangapi wanajua hali hii. Binafsi ni muathirika wa hiki kinachosemwa nilienda kulipa direct entry cost ya chuo (Udsm) 2009 Tshs. 74500.00 nikapewa pay in slip nikidhani wameingiza malipo hayo...
Jamani Sio sahii kuhusisha maafa yanayotokea na siasa. Hakuna uhusiano kati ya kuzama kwa meli na ccm haya ni maafa tu kama ajali zinazotokea mara kwa mara. Inaonekana huyu jamaa amekariri na ana chuki binafsi na chama hki kwani upepo mkali ndo umesababisha meli izame na si vinginevyo.
Mji mpya wa kisasa Kigamoni unaotarajiwa kujengwa inasemekana ni wa Bush so makada wa chama wanaulinda mpango huu kwa nguvu zote ndiyo maana huyu kiranja msaidizi amemuondoa mbunge wa jimbo hilo kinyume na kanuni.
Uliyecoment hapo juu nathubutu kukwambia kuwa una chuki na kiongozi huyu. Huwezi kuishi kwa amani na uhuru wa kutoa mawazo yasiyo na staa namna hii afu ukamwita kiraza rais wako namna hii. Hata babako unamfanyia hv. Tumia vizuri uhuru wa watu kusoma mawazo yako. SO babako akisalimiana na jirani...
! Kuwa na busara mkuu we ndo nchemba hujitambui huwez tumia kauli za namna hii. Ulisoma Tumaini University? kwa kauli hz wewe na huyu mwomba ajira ni kopo na mfuniko wake. Chuo cha kata hicho au unabishaaaaaaa!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.