Kwa hiyo wewe unafikiri hizo pesa zinaweza patikani nje tuu? Unajua maana ya budget au ni aina gani ya budget inayotumika Tanzania? Nyie ndo mnapigia kura watu kwa kuangalia sura eti nzuri baadala ya uwezo
Ni kweli si vibaya kutoka tajiri wa kutupwa hadi masikini wa kutupwa yote ni maisha nainatakiwa CCM wayaishi hayo maisha. ilinishangaza kuona Mkapa akiwaahidi wana Arumeru kutatua tatizo la ardhi wakati yy alikuwepo miaka kumi madarakani na hakutatua tatizo hilo, ilitakiwa aeleza namna...
Hongera kijana mwenzetu Nassari kwa kuwa nauthubutu na kumtanguliza mungu mbele hakika ushindi wako unamaana sana kwa watanzania na vijana. Tunakuomba ukawe sauti ya vijana na masikini wote wa nchi ili tunapokuona wewe tujione cc.
Bravo chadema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.