Nimefanikiwa kuiona clip ya Mdude akitumia maneno ya kuudhi na yasiyo na staha kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Niseme wazi kama Rais Samia angeamua asitoke asingetoka ila kwa sababu anaamini katika Uhuru wa Mahakama aliamua ifanye kazi yake.
Ni muda muafaka sasa kwa UVCCM...
Jana kulikuwa na tukio kubwa sana la kampeni la Chama cha Mapinduzi kwenye uwanja mkubwa wa Mkapa.
Kilichotokea baada ya tukio hilo picha zinajieleza haina tofauti na kilichofanywa na WCB kule Sokoine, Mbeya.
Tofauti ni kuwa kule Mbeya kelele za kulaani zilikuwa nyingi ila kwa Jana kimya kila...
Tarehe tano ya mwezi huu mkoa wa Tanga unategemea kupata ugeni wa mh raisi Magufuli.Kutokana na hofu ya makosa ya kiutendaji na kutotatua matatizo ya wananchi kwa baadhi ya watendaji wa serikali kumeibuka matishio kwa wananchi hasa wa eneo la chongoleani ambako mradi wa bomba la gesi litafika...
Fifa imesema aliyekua raisi wa fifa Sepp blatter pamoja na manaibu wake wawili walijipatia kiasi cha dollar million 80 isivyo halali.Huyu mzee alikua mwizi na ndio maana kila alipotaka kutolewa madarakani alihakikisha mpinzani wake anapotea.Sasa ni zamu yake ataisikia fifa ndotoni.
Source.France 24
Wakati nikiisoma taarifa ya yanga ya kuvunja mkataba na mchezaji huyu,sababu kubwa ni kua amekiuka baadhi ya vipengele vya mkataba wake hivyo kama club imemvumilia na imefika mwisho.
Sakata hili nadhani halina tofauti sana na kilichomkuta morinho aliyekua kocha wa chelsea kwamba katika mkataba...
Kama mwanamichezo ningependa kutoa dukuduku langu ambalo linanikera hasa kwa club hii.
Nimekuwepo hapa tanga kwa mwezi mzima sasa na hua natembelea mazoezi ya timu mbalimbali pindi wakiwa hapa.
Coastal union imekua haina matokeo mazuri katika msimu huu.kuna mambo nataka niwaambie viongozi wao...
Wanajamvi!
Kumekua na tabia inayoendelea kushika kasi kwa lundo la wanasiasa wa vyama vyote waliokulia au wamehamia jiji la dar es salaam kwa miaka mingi na kuwekeza huku kuanza kurudi katika majimbo yaliyo mikoani eti kwa kigezo cha kuzaliwa huko.
Sina ugomvi nao ila haiwezekani mtu amewekeza...
Wasalam,
Ninasikiliza redio hapa wanafafanua kua kikomo cha Waziri serikalini ni baada ya raisi kuvunja Bunge.
Je kuna ukweli hapa? Au kuna ufafanuzi zaidi?
Pili ukomo wa raisi aliye madarakani ni lini? na nani anakaimu?
Baada ya kuropoka na kuwatukana viongozi wa Kimondo Fc kua hawajitambui na hawakua na mkataba na mchezaji waliomdajiri Jofrey Mwashua leo katibu wa Yanga kanda mbozi kuyamaliza na viongozi wa kimondo.
Ikiwa leo ni tarehe 14 febr ndio siku ile ya wapendanao.Ni siku ambayo wapendanao hufanya matukio mengi ili kuthibitisha upendo wao.Ila pamoja na hayo siku hii imekua na matukio. mengi kama Mafumanizi au ndoa kuvunjika na mengine mengi.Wadau wa Jf jaribu kuripoti tukio lolote katika mtaa au...
Passengers are facing widespread flight disruption after a computer failure at the UK's air traffic control centre.
National Air Traffic Services (Nats) said a technical fault in the flight data system at its Swanwick centre had caused the problem.
It had now been restored to "full operational...
First it was the British and the Irish. Then the Swedes and the Spanish. And on Tuesday, the French, too, added their weight to the push for recognition of a Palestinian state.
The vote in the French lower house of Parliament favoring such a step was a largely symbolic move. But it was the...
Aliyekua Raisi wa Misri HOSNI MUBARAK ameachiwa huru na mahakama ya misri ikiwemo mauaji ya waandamanaji na rushwa
===================================================
Mubarak cleared: Egypt protests as ex-leader charges dropped
Mubarak waves as he is wheeled out of the court after the...
Sitti Mtemvu 2014 kajivua taji rasmi ndani ya hoteli ya JB BELMONTE Posta - Dar es Salaam.
Mshindi namba 2, Lilian Kamazima kakabidhiwa rasmi taji hilo.
Sitti alikuwa anashutumiwa kwa kugushi vyeti na umri ili ashide u-miss ambapo ilizua mjadala mkubwa kwenye huu uzi Miss Reds Tanzania 2014...
Wakati nikiangalia kipindi cha tuongee asubuhi Star TV. Imeelezwa kua pamoja na ukubwa wa jiji la Mwanza ila linakusanya shillingi millioni 30 tu kwa mwaka kama kodi za mabango ikiwa ni tofauti na jiji la Arusha linalokusanya Zaidi ya Shillingi Billion Moja kutokana na kodi za Mabango.
Wakati Waziri mkuu akilihutubia BMK asubuhi hii kasema swala la mahakama ya KADHI lipewe muda mpaka mwakani mwezi wa kwanza ila leo na kesho waislamu wapige kura kama kawaida.Hili ni changa la macho mchana kweupe.
Wakati naangalia kipindi cha michezo CNN.Wametaarifu kua Raisi wa FIFA amekaa ripoti ya kashfa ya rushwa inayoihusu FIFA isisomwe hadharani.Anataka iwe siri.Huyu babu analiua hili shirikisho.Na amepanga kugombea tena.
Nilikua naangalia kipindi cha Diary ya Lady Jaydee akiwa ametembelea Maria Stopers.Wakati anatembezwa thieta kwa ajili ya kina mama yule mkunga akamwambia Idadi kubwa sana ya wazazi hasa wanaokua ndio wanajifungua kwa mara ya kwanza wanapenda kutumia njia ya Oparesheni na sio njia za kawaida na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.