Search results

  1. Lenja

    Pascal Mayalla: CHADEMA watengeneze kwanza Katiba mpya ya chama chao kabla ya kukimbilia katiba ya nchi, wawatendee haki wabunge 19

    Naunga Mkono. Yeye ni MwanaChadema mpaka ahisi mapungufu yake? Kama anahisi ina mapungufu ahamie Chama Kingine chenye Katiba nzuri zaidi.
  2. Lenja

    ITV yatumika kumpigia kampeni Lowassa kabla ya muda

    Mwambie huyo. Kama anataka kubalansi mambo, act&chichiem aende tbccm.
  3. Lenja

    Wengi wapo CCM kimwili lakini kiroho wapo UKAWA

    Umenena Mkuu. Evidence: Makongoro Mahanga, kiongozi wa serikali. Kumbe alikuwa anaongoza kimwili ila KIROHO alikuwa CDM.
  4. Lenja

    CHADEMA inapogeuka lulu kwa wafuasi wa CCM!

    Kimbililio lao sahihi. Mfano, inasemekana, N. Waziri Mahanga, leo kavua Gamba!
  5. Lenja

    Magufuli Rais, Ukawa viti vingi bungeni!

    Naunga mkono hoja. 100/100.
  6. Lenja

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, January 28

    Hii hofu yao haina muda mrefu, itaondolewa kwa nguvu ya Umma. Kenya, majirani zetu, Bunge linaoneshwa na Tv zote, labda iamue kutokuonesha. Pia, tunashudia KESI kubwa au zenye mvuto zikionyeshwa live........ndio maanatunatengwa na wenzetu EAC.
  7. Lenja

    Muswada wa Mahakama ya Kadhi kutikisa Bunge

    Isiruhusiwe!
  8. Lenja

    Yaliyojiri Bungeni: Ijumaa, 28 Novemba 2014 (Hatma ya Sakata la Tegeta Escrow Account)

    Licha ya umahiri wake kisiasa. Zitto ni kama POPO. Msimamo na kazi aliyoifanya katika PAC hatimaye anawageka wenzake na Bunge zima hasa wale wa upinzani na Wanaccm mahiri waliojitoa mhanga, kuua mapendekezo waliyokubaliana katika kamati na kuanza kutoa maoni yake binafsi. Amewapa ugumu mkubwa...
  9. Lenja

    Yaliyojiri Bungeni: Ijumaa, 28 Novemba 2014 (Hatma ya Sakata la Tegeta Escrow Account)

    Kweli kabisa! Kaokoa jahazi ambalo lilikuwa lilishavishwa limbwata!
  10. Lenja

    Kitendo cha ITV kumpa Airtime Warioba ni Uchochezi au Ukombozi?

    #Mr . Mwalu, kwa ufupi hilo ndio jibu!
  11. Lenja

    Hii ya kutomtaja Mzee Warioba katika Makabidhiano ya Katiba imenisikitisha sana

    Nakushukuru sana kwa kulitambua hili. Hamna mtu hata mmoja aliyetambua umuhimu wa kazi waliyoifanya. Hakutamkwa hata mara moja wala wajumbe wake......nilisikia tu mara chache sanaaaaa maneno ''''tume ya katiba''''''' inasikitisha.
  12. Lenja

    Mwelewa zaidi atusaidie: Upigaji kura wa hapana na ndio katika ibara tofauti tofauti inaathiri vipi

    Naomba mtu ambaye ni mwelewa kwenye hili: Kuna Wajumbe, baadhi, wamekuwa wakipigakura ya HAPANA kwenye IBARA kadhaa na NDIO kwenye IBARA nyingine. Watakapomaliza kufanya hivyo mwishoni athari yake ikoje? Kwani wakishamaliza kuzipigia Ibara, je, itapigwa kura moja kwa kila mjumbe kuamua katiba nzima?
  13. Lenja

    Jeshi la polisi Dodoma lazuia maandamano ya CHADEMA yaliyopangwa kufanyika leo Septemba 18

    Kwani Gari kupita ni maandamano? Huku ni ku-weweseka tu?
  14. Lenja

    Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

    Nimeipenda hii: ......kama maoni yaliyopendekeza serikali tatu ni machache, yaliyotosheleza serikali mbili ni mangapi??????
  15. Lenja

    Baada ya Mdahalo: Nani anazuia upatikanaji wa Katiba Mpya?

    Leo katika mdahalo nimependa uzi mmoja makini. Kuna jamaa mmoja mweupe hivi alisema: .......kama kura za maoni zilizopendekeza serikali tatu zinasemekana ni chache, je za serikali mbili zilitosheleza ngapi??????????
  16. Lenja

    Kura ya Maoni: Muundo upi wa Muungano unafaa?

    Serikali 3
  17. Lenja

    Wassira ndani ya TBC1 akifanya Tathmini ya Bunge la Katiba

    MASWALI MAGUMU ANAYOULIZWA NA MTANGAZAJI! Nampongeza sana mwendesha kipindi kwani anampiga maswali ya kiwango. Mfano: kwa hiyo tume iundwe upya ili ichukue takwimu sahihi? Walichokiandika tume si ndio wazo ya wananchi? kwanini unadai rasimu ni mawazo ya tume wakati takwimu wamezichukua kwa...
Back
Top Bottom