hivi inaruhusiwa kuvaa uniform za jeshi la nchi nyingine? Mwigulu hiyo kofia yake ni ya jeshi la china lijulikanalo kama red briged na nashangaa bado hajachukulia hatua!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mada hii imenikumbusha mengisana juu ya mwalimu Nyerere. Kuna wakati Kalinali Lugambwa alitaka kugombea Upapa, lakini alipoenda kumwambia mwalimu, alimshauri kuachana na habari hiyo kwani wazungu wasingekubali kuongozwa na mtu mweusi! Hivyo alimwambia "watakuua hachana na kinyanganyiro hicho" ...
Tatizo la CCM ni shule! Hata reasoning capacity ndogo hawana! wewe tafakari - CCM ili kuwa inatetea viti 28 and CDM viti 2 tu lakini katika uchaguzi CDM ikapata viti 5 and CCM kupoteza 6 na kupata 22 tu. sasa katika ya CDM and CCM nani alipoteza?????? CCM tatizo hawana shule na ndiyo maana...
Wewe unafukira za ki-CCM eti kazi ya Zitto hakuna mtu wa kuifikia-hayo mawazo ni ya kizamani sana, kwa sasa wapo vijana wapya na wanapiga mzigo. Hayo mawazo yako ndiyo yaliyowafanya CCM waendelee kumtegemea kingunge ngombale mwiru katika ushauri matokeo yake ngombale akajikuta yeye ndiye mwizi...
Ndugu zangu, watanzania wengi tumechoka sana na wizi wa CCM ambao kwa sasa Taifa limedhoofu lakini bado kuna watanzania wanaochekelea huki watoto wao wakishindwa kusoma na hata wengine kupoteza maisha ndani ya hospitali ambazo hazina dawa!!!!!
Hao madiwani inawezekana siyo watanzania kweli, maana yeyote aliye mtanzania na mwenye kupenda maendeleo asingeweza kuipigia kura CCM (Mafisadi), mwaka 2015 tutapambana sana na lazima tuikomboe nchi yetu.
Huyu aliyeleta ujinga hapa kwenye forum ni Nape na akili fupi kama za kenge. Nimemsikia pia leo kwenye redio ya Clouds akitoa pumba zake akisema CHADEMA haikutii amri ya polisi na haraka haraka nikajua huyu mtot hana akili na siyui alikuwa anawezaji kujibu maswali ya "concept" kama alipitia...
Wassira anatakiwa kukamatwa kwa kuhujumu uchumi wa watu wa kanda ya ziwa hasa wakulima wa pamba kupitia makampuni yake ambayo siku zote yamekuwa yakiwakandamiza wakulima kwa kutoa bei ndogo na Wassira akitumia mwanya wa kuwa Waziri wa Kilimo akutumia ule mtindo wa turufu (Kwa wale wachezaji wa...
Ndugu yangu RC ni wasomi wanajua namna ya kufanya sensa ya watu wao. Kwa taarifa yako wanajua kila muumini na kuna jumuhia nchi nzima na mtoto anapozaliwa na kubatizwa taarifa zake utunzwa sambamba na kumbukumbu zinazopatikana ofisi za vizazi na vifo. Acha sisi waislamu tuendelee kushangaa kwa...
wewe Ritz acha ujinga na thread yako ya kijinga. Ninyi ndiyo mnaleta udini hapa nchini mkidhani ni jambo la kujivunia. Jaribu kutumia akili ndogo uliyonayo kutafakari ushauri wangu.
Gazeti la Nipashe na Daily News ya leo yameandika habari hii. Eti wanadai ilipitishwa tarehe 13 April mwaka huu na rais ali-sign. Nina uhakika alikupitishwa bungenbi kwani hili ni jambo nyeti na kama lingepita bungeni ni dhaili kwamba watu tungesikia au kupata taarifa. Kwa kweli aingii akilini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.