Mbona povu linakutoka ushahidi upo Dini imegeuzwa kichaka cha wezi ona maisha ya hao wanojiita manabii utashangaa.Wanamiliki magari na majumba ya kifahari na mfano hapa Mbeya wachungaji wa TAG wanashindana kutembelea magari ya kifahari.
Ni kweli kabisa Congo DR inachangia ukuaji wa uchumi wa Tanzania mfano ujenzi wa barabara ya kutoka Tunduma - sumbawanga hadi kasanga port ziwa Tanganyika.Wacongo ndo waliosukuma ujenzi wake ili kupitisha mizigo yao nasi tutanufaika na barabara hiyo hasa vijiji vya pembezoni vilivyotelekezwa na...
Mkuu unatoa utetezi kwa kirefu unalipwa shilingi ngapi hebu jiulize DTV kituo kidogo kinaweza kuonyesha mechi za UEFA wao Tbc wana coverage kubwa wanashindwa kuonyesha japo ligi ya bongo kuna tv hapo.
mkuu wa mkoa hawezi badili kitu usimpe sifa asiyostahili jukumu lote lipo kwa halmashauri na baraza la madiwani plus watendaji kama mkurugenzi na wataalam wake (wahandisi) ndo watanzania tunaburuzwa kila uchao kwa ajili ya kushabikia mambo tusoyajua.
Kikwete hajawahi kukanyaga Mbeya tangu achaguliwe 2010.Nape mwenyewe kashindwa hata kuhutubia mkutano wa hadhara tangu alipoingia Mbeya, Watu wa Mbeya hawadanganyiki isitoshe wameshaichoka CCM rejea vurugu za machinga ilikuwa vita kali mpaka jeshi kuingilia kati maana polisi wote walishindwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.