Majungu si mtaji.Hebu soma na elewa vizuri taratibu za utoaji zabuni.Toka lini TEO akawa mjumbe wa pmu, evaluation team au mjumbe wa bodi ya zabuni? Kuwa makini siyo kukurupuka na kuwapa watu sumu bila maziwa.unachotakiwa kutupa hapa ni evaluation report nasi tungechambua hapa.
WADAU HIVI NINAVYOONGEA SASA ,WALIMU WA KIBAHA WAMEGOMA NA WANAFUNZI KWA KUONESHA KWAMBA WANAWAUNGA MKONO WALIMU WAO BASI NAO WAANDAMANA HADI OFISINI KWA MKURUGENZI WA MJI KUWASAIDIA WALIMU WAO KUDAI HAKI.
NAONA KUNA WATU WA UWT NA POLISI HAPA .
source :mimi mwenyewe
sipendi mtu kuweka vitu hapa kinafiki.Anna Makinda ananiboa sana wabunge wapinzani wanapoomba muongozo kisha anawashushua.lakini kuhusu CV huyu ni kati ya CPA holders wa mwanzo kabisa.kwahiyo muanzisha mada uwe na uhakika na kitu unachoweka humu,mbona hukuweka hiyo CPA kwenye CV.otherwise...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.