Search results

  1. K

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) yawateua 8 kuwa Wabunge wa Viti Maalum CUF

    Lipumba, Ndugai, na ww mzee wa Tume ya Uchaguzi Mungu anawaona, iko siku mtajibu mbele za Mungu kwa jinsi mlivyoitikia kwa speed ya ajabu kutekeleza hili jambo. naona your mission is going to be achieved lkn kuna cha kulipia huko mbele za haki kwa macho ya kibinadamu huwezi amini hili ila kiroho...
  2. K

    Ndugu, jamaa na marafiki njooni tumtetee Makonda dhidi ya mapapa wauza unga wanaomzushia

    MBONA MINENO MIKALI HIVI,KULIKONI!!! AU UKOLOMIJE UMEKUINGIA
  3. K

    Waraka wa Mbunge Elibariki Kingu kwa Wabunge CCM kuhusu fao la kujitoa

    anatafuta uteuzi ajiandae kutumbuliwa pia
  4. K

    Kashfa nzito ya Katibu Mkuu wa CHADEMA

    muuaji kajitaja kule ni waziri wa serikali ya Magufuri, ndugu Hamis KIngwangala, kwa hiyo kama ni kutumbua majipu muanze na hamis then Mwigulu maana wote hao walikuwa wagomaji na waendesha migomo sana uwakishirikiana na makonda, dendegu, MAKALA, kwa hiyo mwandishi hapa huna hoja tafuta ingine
  5. K

    Rais Magufuli afanya ziara Benki Kuu, aongea na uongozi

    good, uma hao Mr president
  6. K

    CHADEMA/UKAWA wasema waliotumbuliwa wote wameonewa

    KWELI HILI BWEGE HALIJITAMBUI JUZI LIMEONGEA NN LEO LIMEONGEA NN, UJINGA TU, JANA CC LEO UKAWA
  7. K

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu atengua Uteuzi wa Kaimu Mkurugenzi wa NSSF

    hata mm nilitaka kushangaa Mganda kuongoza shirika la Umma ilikuwa mageuzi makubwa sana hayo katika nchi cjui angelipwaje kama Expatriate au
  8. K

    CCM wakimbilia mahakamani kuzuia uchaguzi wa Meya kesho

    mm nashangaa ndani ya miezi miwili wametembelea ikulu mara mbili mbili wanapeleka sumu tu huko, mwacheni Pombe afanye kazi yake Mkapa na bab Rizmoko kaeni kando kipindi chenu kiliisha
  9. K

    Kwa wizi huu wa TANESCO, lazima tufike 1.9tr

    service charge ya nn kama umeme unanunua na kulipia kodi au tozo zote, think twice mkuu
  10. K

    CCM wakimbilia mahakamani kuzuia uchaguzi wa Meya kesho

    Mahakama imetupilia mbali ombi lao uchaguzi upo pale pale
  11. K

    TRA yakusanya kwa mwezi trilioni 1.7

    mkuu hujui TEA(mamlaka ya Elimu Tanzania) ww mkenya au Mganda
  12. K

    Dkt. Dau afitinishwa na JPM

    nssf full udini hili halina usiri ni wazi tembea ofisi zote ikifika ijumaa saa sita au saba hakuna mtu ofisini watarudi saa 8 na wachache tu .kwa hiyo mm ckuelewa ilikuwaje ikafikia hapo ofisi kuwa na 80% wtumishi nchi nzima waisalamu haiwezi tokea hivyo by coincidence bu intentinally and...
  13. K

    Dkt. Dau afitinishwa na JPM

    kwan hakuna wengine hadi Dau azeeke hapo, udini huuu nauona tena plz hii hoja adm ifunge haina mashiko
  14. K

    Wahitimu wa Open University tunadharaulika bila sababu, kwanini?

    open msingi wake ulikuwa nn hapo utapata jibu kwa nn unadhaurika,tatizo lenu nyie mlio feli zamani ukisoma hapo unataka kuwa sawa na UDSM huo ujinga wenu, open University, ndo mana wana siasa wengi wanapata degree zao hapo za kupewa, sasa unataka kujicompare na UDSM ama kweli rudi nyuma angalia...
  15. K

    Ubinafsi wa Mnyika: Atumia Pesa Yote ya Mkopo wa Gari Kufanya Uwekezaji DSE

    mko wabunge kama 200 plus wa CCM, tupe anagalau % wise wabunge wa CCM walio donate pesa yao kwenye jamii kuliko kuja na hoja nyepesi hapa kwani hujui kama kuna mfuko wa jimbo, hiyo pesa ni kwa ajiri ya gari sio maendeleo ya jimbo, nasasri yy nui utashi wake, so kachukue posho yako Lumumba mkuu...
  16. K

    Tunu Pinda, amepata ajali ya gari Morogoro

    pole ake mama Pinda get well soon, lkn vipi tena STK, kwani ni mtumishi wa umma au mm ndo sielewi hapo au bado hawajakabidhi offisi ya serikali na mali za umma
  17. K

    Kauli ya Rais imevunja Katiba; kwa kuingilia uhuru wa Mahakama

    wala rushwa wakubwa sasa mnataka Rais asiseme ukweli, hamli rushwa sasa mnasingizia kuwa ameingilia uhuru wa kula rushwa au kutoa hukumu, yy kasema kuna kesi zikiisha kuna uwezekano wa seriakli kupata 1 trillion hajasema ni kesi gani serikali nayo inadai sio kwamba kila kesi huwa ina shinda...
Back
Top Bottom