Pole sana.Mwenye upeo mdogo ni wewe unayeweza kutunga jambo ambalo hata mtoto mdogo wa darasa la kwanza anakugundua .muongo.nimekwambia work on progress wewe unasema financing 2019! Kumeshafanyika mambo mengi sana hadi muda huukwa mfano hii wilaya kuna wataalamu zaidi ya mia moja wa fani...
Huu ni uongo uliopitiliza kabisa.Huoni aibu kuzusha uongo mkubwa kiasi hiki.unapata nini? mimi nafanya kazi kwenye moja ya wilaya ambapo bomba linapita.Kwa faida yako na wengine wengi uliowapotosha ni kwamba ujenzi wa bomba la mafuta unaendelea tena kwa kasi kubwa sana.Kampuni kadhaa...
kazi nzuri sana CAG!ni aibu kubwa kwa chuo kikuu kilichobobea wataalam wa sheria na utawala kuingia mkataba mbovu kama huo na kutofanya ufuatiliaji wa uhakika na wa umakini.
Mpaka mkutano mkuu maalum unafungwa jana na Mhe Mwenyekiti mpya John Pombe Magufuli huyo Jack line Wolper hakuwa amerudi ccm. Ukisema amerudi usiku kwenye Muda wa burudani ingekuwa sawa zaidi.
Kuna idara ktk halmashauri zina mtumishi mmoja!ambae ni mkuu wa idara tu!sasa anamwongoza nani hadi kulipwa mshahara wa mkuu wa idara!wakati idara hiyo inakuwa bado inafanya kazi kwa kushirikiana na idara nyingine!ziunganishwe tuu !
Angekaa kimya ingekuwa bora Mara mia kuliko kuibuka upya na kuwafanya watu wajiulize maswali mengi na yeye kasema ishu ni kati yake na Mh Rais ndo wanajua kinachoendelea!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.