Basi makonda atakuwa na nguvu saana maana kam ni kweli ile Facebook page yenye sura yake ni yake alisema nape ndio atatolewa na si yeye RC its terribly I don't believe at all what has happened really
I think now there is a need for the Tanganyika law association to help the nation to get out of this scam we need to stand united so that we can all together save the nationa regardless of our political stances
Karugila unaweza kuamua kuwa kipofu wakati unaona ni suala la uamuzi tu na kujitoa akili kama una amini watu wa chuoni ni kama ulivyoandika hiyo ni mind set yako so sitakushangaa maana umeamua kuwa mvivu wa kufikiri na inawezekani ikawa sio kosa lako ni la kimfumo zaidi ulikufikisha hapo
Tusiwe wavivu wa kupata taarifa sahihi mabenki yapo sahihi na prof yuko sahihi tatizo tuna wabunge wengi wa ccm uelewa wao wa mambo ni mdogo saaana hawasomi.Naomba watu waaome income tax practise notice number 05/2013 iliyotiwa sahihi tarehe 1/11/2013 inayozungumzia business income ndio utajua...
Naomba damu za wagombea wrote wailing zipimwe kwenye kale kaugonjwa halafu majibu yawe live kuanzia outpaced damu hadi misitari itavyo onesha ndioo mtajua nani mgonjwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.