Kwa wasiofahamu, Paprika ni zao kama pili pili isiyokali. Tafadhali kwa walioko Dar, fanyeni mini-survey pale kariakoo kuuliza kwa wahindi na wapemba. Mwaka jana walitafuta sana lakini wakakosa. Kama kuna watu watahitaji, tufanye biashara, kwa kweli zipo za kumwaga kama tani 40 kuanzia August...
Hivi kwanini binadamu tusisaidiane inavyopasa? huyu mzee ina maana hana marafiki wakumsaidia ili aweze kuongeaga busara? si kila mzee ana busara ya kweli kuwatosha na wengine
Kama uko Dar, naomba nikuagize kariakoo ukaniulizie bei ya pili pili aina ya paprika, nasikia kuna wahindi huwa wanaisaka sana ila hawajui wapate wapi kwani kwa miaka ya nyuma kulikuwa na kampuni inanunua kwa jumla, Mwaka huu kuna wakulima wamelima na hawajui wapeleke wapi. Please kama uko...
Kwa machache tu.
Dr. ni intelligent
Dr. ni mbunifu
Dr. ni mwenye maono ya kitaifa (vissionary leader)
Dr. ni mchapa kazi
Dr. anamuenzi baba wataifa
Dr. anasoma sana
Dr. anajiamini kusimamia anayoyamini
endelezeni
Hakika CCM wataikumbuka siku NEC ilipomengua Dr. Slaa kwa kigezo cha kutokuwa na uzoefu wa kisiasa. Nakumbuka ilikuwa nyakati za baridi, msimu wa uchomaji mahindi watu wa karatu waliposononeshwa na uamuzi wa NEC kumuengua Dr. slaa na kurudisha Patrick Qoroo` ambaye alikuwa amechoka hata kufikiri...
Ninavyofikiri, intelijensia maana yake ni kuelewa mpango mzima wa njama na kuweka mkakati wa kuuthibiti bila kuathiri haki za raia kufanya shughuli zao ikiwemo hii ya matembezi ya mshikamano. Kama wana taarifa za kiintelejensia, ina maana wanaelewa fika mchakato huo wa uvunjivu wa amani, sasa...
You men! unasema huna mtaji, ungejiajiri, hivi unafikiri mtaji wa kujiajiri ni kiasi gani? ngoja nikuambie, Tafuta kama mradi walau wa 50,000/= andaa vizuri, angali na faida yake, design marketing strategy alafu uanze. Kuna wife wa my friend alikuwa anagombana na mume wake kwa sababu anataka...
Mtusaidie kusikiliza masuala ya biashara ya cherry, kwani ndicho kilichomwondoa Kimolo. Nasikia Kandoro naye kapingwa stop na Pinda na ameambiwa aondoe msimamo wa mkoa mara moja kwani hii ni soko huria. Wazee mlioko Mbeya mtusaidie kama atasema chochote kuhusu hilo
I think Singida na Dodoma ni mapacha wanaofanana katika hali ya umaskini, mikoa hiyo wananchi wana hali duni, wana njaa ya kila mwaka inayosababishwa na mvua kidogo na watu kubadilisha tabia ya ulaji inayowapelekea kuacha kulima nafaka aina ya mtama inayostahimili ukame badala yake wanakimbilia...
kuna migogoro mikubwa inayoendelea Mbozi, moja ni hoja ya fidia ya wakulima wa kahawa ambayo hoja ya madai yake yaliyopelekwa kwa waziri mkuu na wawakilishi wa wakulima imepokonywa na Zambi na bado ameshindwa kutoa majibu kwa wakulima, nao wanamlia timing kubwa, akishindwa tu imekula kwake...
Wakuu mkuu wa wilaya ya Mbozi amejiuzulu nafasi yake, huyu alikuwa akipinga sana biashara ya kahawa ya maganda (coffee cherry) ambayo haiko kisheria lakini Maghembe alikuwa anairuhusu kwa manufaa ya wafanyabiashara wakati wakulima wakiendelea kudhoofika kiuchumi na mashamba kuendelea kufa...
Hivi unaposema chezea wachagaa, huoni hata haya kuleta mambo ya ukabila, tena kwa hoja za kulazimisha! Hivi kwa nini useme CDM ni ya wachaga, Mbona huku kwetu mBeya ndiyo inatisha kuliko popote, Hivi kwa nini? Unatumia kigezo gani? yaani ndugu yangu hapa nimjawa na jazba, basi tu busara...
Wakuu, Silinde asisashau kuwa ZAmbi aliteka hoja ya wakulima kupitia Umoja wao katika kudai fidia iliyotengwa kwenye stimulas package, aliwaambia leteni hiyo hoja aifikishe kwa PM badala ya wao kupeleka wenyewe! Matokeo yake akaichinjia baharini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.