kama mwenezi wenyewe ndie huyu basi kazi ipo yaani hovyo kabisa kabisa,sasa kama vibabu ccm si ndio wamejaa ,lowasa babu,kikwete babu,sita babu,pinda babu,wengine mnaweza kuwaongezea,kwahiyo sio mpaka uropoke ili uonekane unafanya kazi,kila mtu anajua kwa nafasi uliyonayo lazima upambane ili...
hana hoja chama chake kinachokusanya kodi tu kimeshindwa kutupunguzia shida zetu,huko mbeya mjini mna mkuu wa mkoa wa ccm,mkurugenzi wa ccm,mkuu wa wilaya wa ccm,rais anatoka ccm kwann huwaulizi wamewafnyia nn vijana wa mbeya?huna hoja
asikuumize kichwa kila mtu siku hizi anajua wameandaa utaratibu wakuropoka kila siku lengo tusahau shida zetu tujadili upuuzi usiokuwa na tija kwa taifa letu ,maisha bado magumu huku uswahilini ye anatuletea mambo yasiyokuwa na msingi wowote
we ulikuwa ulaya kwa kodi zetu miaka kibao leo umerudi unajifanya unajua!ww songea umeenda lini na huo utafiti umefanya lini,kwa taarifa yako kwasasa ivi hakuna sehemu ambayo chadema haina wanachama,mwanzoni wakati unarudi nilizani kidogo uko tofauti na magamba wenzio kumbe mnarithi kila kitu.
we ulikuwa ulaya kwa kodi zetu miaka kibao leo umerudi unajifanya unajua!ww songea umeenda lini na huo utafiti umefanya lini,kwa taarifa yako kwasasa ivi hakuna sehemu ambayo chadema haina wanachama,mwanzoni wakati unarudi nilizani kidogo uko tofauti na magamba wenzio kumbe mnarithi kila kitu.
sasa ww kupe kama serikali inamtambua ndio asilipe kodi?mbona simba na yanga wamekatwa milioni 56 kwenye mechi ya juzi na tra sasa kwanini yy asilipe tumia akili kidogo sio kila kitu unapinga tu kwasababu kasema mtu wa chadema.
yaani unaonekana kila siku unabadili jimbo mara kwa mdee mara mnyika ww unaishi wapi mbona hueleweki,rita mlaki alifanya nn kipindi chake nipe mifano coz hata mm ni mkazi wa maeneo haya kwa vipindi vyote unavyovisema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.