Usilolijua ni sawa na usiku wa giza, mtaongea mengi ila ipo siku mtafunga midomo yenu. Ukweli ni kwamba Dr. Uli ni shujaa wa wengi, alichokipigania ni mazingira bora ya kazi na huduma bora za afya kwa watanzania wote.
Tutafika tu ndugu yangu, kila kitu kina mwisho wake, na nikuhakikishie kwamba cku hii nchi inakombolewa ccm hakitakua chama cha upinzani bali kitakufa kabisa., mwisho wa dhuluma ni aibu...
Wewe ni wa ukweli, pia tutoe elimu kwa jamii inayotuzunguka, kwamba mwisho wa kunyonywa na zii zii em umefika, ni lazima tujikomboe wenyewe, ni heri ushinde njaa cku moja ili uje ushibe milele..., tusidanganyike tena. 2015 nchi hii ikombolewe....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.