nimegundua ww ungekuwa raisi wachache wangepata haki zao, tena wale tu wanaokubaliana na wewe. at ths point as a nation we are nt suppozd 2 hv parmanent friend or enemy. atakaethibitika msafi tutampokea na wale wa kwe2 watakaoonesha uchafu wowote wataoneshwa mlango wa kutokea. tht shld b the spirit.
umeongea point sana bro, akistaafu atakuwa fundi kushona, haiwezekani m2 kila siku misele tu. tena wote wawili aisee, naona hawa hata briefing hawapeani ase.
hoja yako haina ushahidi zaidi ya vidata vya kipuuzi ambavyo havilingani na mazuri aliofanyia wananchi wa jimbo lake, njoo kigoma uone. Zito ni mwanasiasa si mpinzani, wapinzani ndo wanapinga hata maendeleo so wat f akiwa na urafiki na baadhi ya wana ccm 4 good ila hafati ujinga wao? au huo...
wakati anajitahidi kuelezea jinsi alivyosikitishwa na kifo cha the great K, akajikuta anasema... ''yani juzi tu tumekutana maisha club sisi tuko chini yy yuko juu anakunywa pombe na kucheza mziki wa twanga...'' mi nadhani angeweza kusema mengine ya maana ukizingatia alikuwa anasikika radion...
kuna tabia ya watu kupotosha hoja makini za watu humu ndani. chamsingi hapa nh kwamba bila kujali vyama hv mtu yoyote mwenye busara hawezi kushangaa kupingwa kimawazo na m2 mwingine kwani kila mmoja anamawazo yake nawangependa yaheshimiwe zaidi ya kwamba ni haki ya kikatiba. sasa mi binafsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.