Hoja yako si yakweli, katiba biashara ambazo ziko secured ni real estate na Truser bond
Hoja yako ina onesha hujawahi fanya biashara uone risk ya biashara ilivyo, katika biashara ambayo iko secured ni Real Estate na Turesur
Katika biashara ambayo iko secured ni Real Estate na Treasure...
unajua ndoa za vijana wengi huwa tunaoa wadada ambao kabla ya ndoa unakuta mlikua wapenzi,mna oana baada ya miezi 2 mwenzako anakuambia ana Mimba au hata kabla ya ndoa una furahi sana,hakuna jambo linalo umiza kwenye ndoa kama kusikia maneno mtoto si wako,ni wa fulani na ukiunganisha matukio ni...
Usiwe una andika kitu ambacho hujui,mm nilinunua pikipiki mwanza niliendesha hadi Tarime ni km 287 bila kusimama kokote ilikua mwaka 2006,kwa ushauri tu lita moja ya petrol kwa gari kama Opa au Vitz yenye CC1490 inaenda km 14 mpaka km 16,je kwa pikipiki yenye CC150 lita moja ya petrol itaenda km...
Wanawake wa siku hizi hawana shukrani kabsa, yaani unakufa hujamaliza hata wiki kabrini ameisha olewa, yaani ningekua nakufahamu haki ya Mungu ningekupa hata laki ya pongezi
Ndugu wana jamvi,
Mimi ni kijana mwenye Miaka 30 nimeoa miaka mitatu iliyopita, kabla ya kumuoa mke wangu, tulikuwa wapenzi zaidi ya miaka 4 ndio tukaoana kwa harusi kubwa sana.
Tukiwa kwenye hatua za mwisho wa kufunga ndoa mke alinambia ana ujauzito, nikamwambia hakuna tatizo ngoja nifanye...
Wana jamvi kwa wale wanao deal au wenye ufahamu na maduka ya spea used za magari, natafuta half cult isiyo na engine ya Toyota Rav4 ya 2007, kwa yeyote ambae atakua na msaada juu ya hilo naomba sana ani PM
kumbe unatoka kwa Mwigulu!tutachapisha nyingine,wewe subiri mkutano wa magamba uje urudishe wakuchukue na video kabsa ili uuze sura kabsa,unatumwa umtishie M/kiti kwa vigezo vya kipuuzi
We irudishe au kama vipi ichome mwenyewe usituletee upuuz kupotezeana mda!
kumbe ni wa Mwigulu !tutachapisha nyingine subiri mkutano wa magamba uje urudishe uchukuliwe video si mdio mnapend
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.