Mimi naomba CCM watoe tamko japo la kulaani tu tabia chafu ya kada na Mbunge wetu Lusinde. Mimi siamini kabisa kama tabia hii aliyoonyesha inatokana na malezi mabovu ya wazazi wake, bali ni uhayawani aliojifunza kwenye vijiwe vya wavuta bangi. Kama anasema hii ndiyo siasa ya upinzani, basi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.