Mmmh!! Lakini hili jimbo la mwanga nalo wajinga wengi bado.....maghembe sio mtu wa kuendelea kutawala kabisa....katibu mkuu wa chama chake akishasema huyo ni mmoja kati ya mizigo...sasa wanamwanga kama wanakubali kuongozwa na mzigo basi wao cjui tuwaiteje sasa.......!!!!!!!!! Inauma kwa kweli
Baba wa taifa Julius
Nyerere aliwahi kusema
kuwa ,wale wanaodhani
katiba mpya haitungwi na
wananchi ,basi watu hao ni
wapumbavu,na nyie ccm
mnapinga maoni ya wananchi
tuliyotoa kwa Tume ya
Warioba, swali langu ni
je,na nyie ccm ni
wapumbavu kama alivyosema
baba wa taifa? maana nyie...
''Wagombea wote wa ubunge na
udiwani wa Ukawa lazima
wajulikane by June mwakani ili
kuzuia fedha chafu zitakazotumiwa
na maCCM kuwanunua na
kuwalaghai.''
NJEMA SANA HII
Kwa watu wasio elewa hiki
wanachokifanya kambi rasmi
yaupinzan wanaona kama
hawatendisawa lakin nakwambia
wanachofanya ni maandiko ya neno la
Mungu yasemayo TOKEN KATI YAO
WAFANYAO UFISADI MKATENGWE NAO
MSIGUSE KITU KICHAFU.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.