Matatizo mengi duniani yanasababishwa na siasa na wanasiasa kama ilivyo hapa Tanzania.Ni kwa sababu hii ndo maana siamini ktk siasa.Naichukia sana CDM na siipendi kabisa CCM.Anayeweza kunishawishi kwa vigezo thabiti kwamba CCM ama CDM ndo suluhu ya matatizo yetu nchini na afanye hivyo sasa
Great Thinkers, You should trust your government, it is very stable and everything concerning the border conflict over lake Nyasa is under control.
Never jump to an issue brother.
Nashukuru kwa Dr Lukanima kujiunga na Chadema lkn as far as i know hawezi kuwa kipenzi cha watu wa Chato politically.Personally Dr Lukanima hana tatizo na ni msomi mzuri lakini historia ya baba yake Chato sio nzuri lazima tu itamcost mwanae.Baba yake Mzee Lukanima aliwahi kuwa Meneja wa...
Kaka yangu Nape binafsi nimekuelewa vyema na nimefarijika kwa kitu kimoja tu toka kwako KUTUMIA JINA LAKO HALISI HAPA JF.Hata hivyo iwe isiwe unayo kazi kubwa sana kwa nafasi uliyonayo kwa vile Watanzania wa leo wamebadilika sana na uwezo wao wa kupambanua mambo uko juu sana kwa sasa pengine...
Muulize hata Waziri Mkuu atakwambia kuwa Rais wetu ni dhaifu tena sana.Nakuomba ufute kauli yako kwamba mkuu wetu wa kaya si dhaifu.Ninachoweza kukubaliana na wewe ni kwamba Rais wetu ni rijali basi!
Nina wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri.Jamii Forum being the home of great thinkers why did you resorted joining it while you know ur not good upstairs-narrow minded.
Sio bure,mtu mwenye busara hawezi kukata tawi la mti alokalia lazima kuna msukumo toka nje.Uwezo wa kupambanua mambo umefikia ukomo hivyo tusubiri matokeo ya maamuzi ya kukurupuka.
Ndg Watanzania wezangu,sasa ni dhahiri kwamba umasikini umetamalaki miongoni mwa jamii na hakuna mwingine wa kumlaumu tofauti na viongozi na serikali legelege na uongozi uliopoteza mwelekeo.Je ipo haja kwa Jeshi letu kuchukua nchi ili kurejesha utawala wa sheria? Lakini pia ni kweli kwamba jeshi...
Pole sana kwa utafiti wako finyu.Kama wamekutuma kupima upepo basi waambie upepo uvamao sasa ni wa Kusi, ukivuma kutokea mashariki kuelekea Kusini.Inshort Magufuli does NOT FIT and will never fit to become a PM.Ni mtu wa jazba na visasi vya kike na zaidi ya yote ana maamuzi ya kukomoa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.