Ndugu, zoezi la kuingiza matokeo lilikua la wazi kabisa.
Watu wa vyama vyote shiriki walikuwepo wakihakiki form wakati zikiingizwa na hawakulalamika kua zimetofautiana. Waulizeni wagombea wenu wa ubunge wawaeleze zoezi la kuingiza matokeo liliendaje maana walikuwepo na walihakiki.
Mkipewa majibu...
Kama tume ndo yenye mamlaka uchaguzi z'b ungeahirishwa?
Si wangejitangazia tu wanayemtaka mchezo ukaisha?
Acheni kupotosha watu kwa mambo msiyoyajua.
Tume yetu ni huru kwa nadharia na matendo.
EL kakatwa na watu wala msiisingizie tume. Mimi ni mmoja wa waliomkata.
Sababu ya ujio wake ipo wazi kwa walio tayari kuiona.
Kama haupo tayari usilazimishe ubongo wako kuitanabai, kwani utaishia kupotoka tu na kujichumia dhambi.
Safari hii kuiba kura ni ngumu maana form za matokeo kwa kila kituo ni computerized na idadi ya wapiga kura kwa kila kituo imejazwa tayari kwenye form.
Ikizidi tu ni mgogoro.
Piga kura, rudi Nyumbani kusubiri matokeo.
AMANI NI MUHIMU ZAIDI.
Kwani kusafirisha wanachama wako toka maeneo ya mbali kwenda kwenye mkutano wako na kuwarudisha ni dhambi?
Hapo juu naona ni wanachama wa chama husika wameamua kwenda kusikiliza mtu wao anazungumza nini, binafsi sioni dhambi iliyotendeka.
Ni utaratibu wao binafsi na hautuhusu.
Ukiona umeongea kitu halafu wahusika wakakutizama tu, consider yourself stupid. And that is what Gwajima is.
"POWER HUNGRY, CORRUPT, UNETHICAL STUPID MESSENGER OF THE FALLEN"
Sioni sababu ya Mtu mwenye akili kujibizana nae.
"DK AENDELEE KUMPUUZA SABABU SIKU ZAKE NA WENZAKE KUPOTOSHA WACHACHE...
Niliskiliza hotuba ya Dr. Slaa vzuri, sikuskia hilo tusi kwa maaskofu.
Kuhusu kuhongwa kwa maaskofu nilimsikia akisema Gwajima ndiye aliyemwambia Dr. Na akasema Kuwa kama alichoambiwa na Gwajima ni kweli, basi maaskofu wajitafakari then wapige magoti watubu.
Mimi kama mwana jamvi wa muda mrefu ninasikitika sana kuona maana halisi ya jamiiforum ikibadilika toka jamvi la watu wenye fikra pevu, watu wanaojadili mambo kwa upana wakiangalia maslahi mapana ya nchi yetu, watu wanaojua kujenga hoja, kuzifafanua na kuzitetea kwa hoja na lugha yenye hekima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.