Samahani jamani mnaojua sheria naombeni msaada wa kimawazo. Mi nina kiduka changu,ninajitahidi kulipa TRA kila mwaka. Sasa nashangaa watu wa halmashauri yangu wanadai kuwa natakiwa kulipa ushuru kila mwezi sh 3000/. Je kisheria ni halali?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.