Ni magazeti hayo hayo yanayodanganya siku zote, na babu slaa kwa kukosa uadilifi kama kawida yake akavamia magazeti bila uchunguzi, huku mbowe na wenzie wakimficha kuwa wamealikwa, angeandaa maandamano akisaidiwa na jambazi la arusha na lile la singida kuwaharibia wenzao
Inaelezwa wazi kuwa hao waarabu walikuwa at the wrong place at the wrong time.......cardinal pengo amesema anaushahidi kutoka kwawatu wakaribu yake na anao waamini kuwa sio shambulio la kidini kwa makusudi tu mnataka kupindisha ukweli, ambrose atamtaja tu aliemtuma nyie mnataka kupotosha si...
NANI ASIYEJUA KUWA CDM NDIO WAASIS WA UDINI MPAKA MWENYEKITI WAO PADRI......SASA LABDA KAMA UMEPEWA NUSU KAPUTI HUNA FAHAMU NDIO UTAAMINI HIZO PROPAGANDA. PILI KAMA CCM NI WADINI NA MPAKA WATOLEWE BASI UDINI HUO HAUTAKWISHA MAANA PAMOJA NA PROPAGANDA ZENU ZOTE MITANDAONI CDM INAZIDI KUSHUKA...
Mimi ni mgeni katika JF, lakini kila nikiingia humu naona Mohammed Said anapigwa vita juu ya kitabu chake au publications zake, true scholars would counteract by writiing books by enlisting facts, humu sioni ni firimbi tu, kiandikwe kitabu ambacho kita counter facts zilizoandikwa na Mohammed...
All sensible people accept and acknowledge these facts, hata madri na maaskofu wanalitambua hili, viongozi wengi wadini ya kiislam walio thubutu kumtahadharisha Mwl kuhusu hatari ya mwenendo wake waubaguzi wa dini alioufanya wazi wazi, aliwafunga na maaskofu wote wanajua mambo haya, ila matamko...
Wengefungu zaidi kwa kuwafafanuliwa waumini wao nini maana ya Christmas, historia yake na kwa nini 25 december sio siku ya kuzaliwa Yesu, ingekuwa na tija zaidi maana hayo ni mambo ya kiroho, haya mengine wangeyazungumza siku ya 9 december au 7/7 maana hayo ni mambo ya kisiasa, mkiambiwa nchi...
Kwa nini unafikiri kuwa rais ameajiri watu wa ku neutralize discussion humu? Au kazi ya mitandao ya kijamii hususani huu ni kukandia tu wether it is true or not? Au unataka kutuambia mtandao huu ni kwa ajili ya kumkandia rais tu, vinginevyo you don't belong, bado mtasema mengi humu, kwenye...
Mnakazi kweli kweli, mnaambiwa leteni mlizonazo original mnazidi kuleta ujinga wenu,msituletee visa vya kuabudu mapicha, hawa ni watu real si vivuli hivyo? Mchukueni rais wenu kivuli na vivuli vyenu mkatawale nchi ya kusadikika na rais wenu vivuli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.