Search results

  1. The Incognito

    Ubora wa Paul Matthysse a.k.a P-Funk Majani wa Bongo Records

    Mkuu, zacha sina la kusema kiongozi wangu. Niko na furaha sana, huu kwangu ni zaidi ya wimbo.. sikufichi nimeusilikiza zaidi ya mara 35 hadi sasa. Nimekumbuka mwaka 2006 wakati niko naharakati za kutafuta maisha huko kwenye utalii i mean kutembeza watalii mbuga za wanyama, ahsante sana mdau...
  2. The Incognito

    Ubora wa Paul Matthysse a.k.a P-Funk Majani wa Bongo Records

    Heshima kwako mkuu kipumbwi kwa uzi huu mujarabu.. Hakika sisi wahenga tumeburudika sana kwa kujikumbusha enzi bongo fleva imeshika hatamu. kwa muda mrefu sana nimekuwa nikitafuta wimbo mmoja hivi umeimbwa na wasanii wengi sana (Chid Benz, Joslin, makamua n.k)nimeusahau jina ila wameimba...
  3. The Incognito

    Dr. Slaa atakuwa adui namba 4 kati ya maadui wa 3 wa Mwl Nyerere

    Huyo Dr. Slaa ameshindwa kukamilisha kazi aliyotumwa na waajiri wake CCM,amekumbana na wajanja zaidi yake. CHADEMA imekamilika kila idara, huwezi kuihujumu CDM na ukabaki salama utafurushwa tu. Wananchi sasa wanachosuburi ni kipyenga cha kuanza kampeni kipulizwe watu washuhudie jinsi Tanzania...
  4. The Incognito

    Kwanini baadhi ya muvi na filamu za Kitanzania hazina ubora wa kukidhi viwango vya kimataifa?

    Movie za kibongo hazina uhalisia hata kidogo,kwa mfano muigizaji anamkata na panga mbaya wake wakiwa katikati ya mtaa uliojaa watu kisha anaondoka na panga lake limejaa damu na kupita katikati ya hao watu bila ya watu kushituka,kiuhalisia watu wote mtaani wangemkimbia vibaya mno anapowakaribia...
  5. The Incognito

    Jenerali Ulimwengu: So everyone wants to be president? Not me, I’d rather be dating Angelina Jolie

    Artiful Dodgers = Mafia gang involved in International crime
  6. The Incognito

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    mawazo mengi vijana wangu ndio maana bado lock imegoma kutoka
  7. The Incognito

    Mbeya: Barabara yapigwa sementi badala ya lami

    Kumbukeni,hicho kipande cha barabara hapo Meta kila mwaka kinakarabatiwa kwa kufukia hayo mashimo,mara waweke udongo sasa sementi,sijui mwakani wataweka nini. Hayati Mwalimu Nyerere alisema "Ulaya wanakula 10 percent na barabara inajengwa,Afrika wanakula 10 percent na barabara haijengwi" Ni...
  8. The Incognito

    Ajari za barabarani, Mbinu gani itumike kuzizuia/kuzipunguza.

    Ni ajabu ati basi linaanguka na kulalia mlango likishika moto watu wanaungua na kufia ndani kisa hakuna milango ya emergency.Mbona mabasi ya zamani ya relwe yalikuwa na milango ya dharula?TBS wako wapi au wanaangalia vipodozi tu! Mgagagigikoko.
  9. The Incognito

    Watangazaji wa Kili FM rudini shule mkasome

    Sisi enzi zetu tulisoma novel za chase,vitabu vya Chinua Achebe,Africa now na Shoot magazine. Wao enzi hizi wanasoma twitter,facebook na instagram,huo ndiyo mwanzo wa ukanjanja. Mgagakikikoko.
  10. The Incognito

    Kamanda Mpinga: Watu 103 wamefariki kwa ajali barabarani toka Machi 11 - Aprili 12, 2015

    Bado nasisitiza,bila kuondoa donda ndugu rushwa kati ya madereva na askari barabarani tutaendelea kupukutika kama maua ya kiangazi. Fikiria toka Dar mpaka Mbeya kuna trafiki polisi zaidi ya mia moja na vitochi vyao lakini unaambiwa mabasi yanapata ajali kutokana na mwendo kasi,hapo jumlisha moja...
  11. The Incognito

    Ajali za barabarani

    Ni muda mrefu sasa ajali za barabarani zinazidi kuongezeka na kupoteza uhai wa watu wengi,sababu kubwa zinazotajwa sana ni uzembe wa madereva pamoja na ubovu wa miundo mbinu. Lakini sababu nyingine ambayo haitajwi sana ni rushwa iliyokidhiri miongoni mwa taasisi zinazohusika kusimamia usalama wa...
  12. The Incognito

    Gari linauzwa

    mkuu nadhani ungeweka picha zaidi pamoja na specs kama odometer ili wadau wakiridhika wapige simu
  13. The Incognito

    Lazima mjue kutofautisha

    Maziwa na tui la nazi..!
  14. The Incognito

    Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

    Haiumizi ni umbile lake tuu..
  15. The Incognito

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    wajameni mbona mnataja raha za papuchi bila kutaja za pacha wake...!
  16. The Incognito

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Bongo ni mji ambao hafukuzwi mtu..
  17. The Incognito

    Kwa malezi ya namna hii lazima mtoto awe na tabia zisizoeleweka

    kiukwel wanawana hawana cha kukwepa kwenye manyanyaso ya hawa wasaidizi wa ndani. yaani unakuta mwanamke na shule yake (hata asiye na shule) anavyomfanya dada wa kazi hadi mwanaume unajisikia vibaya. sasa kosa umwambie anakuona kama mbona unamtetea sana huyu dada una uhusiano gani nae..?? kikwe...
  18. The Incognito

    Michano, Punch lines special thread

    hapana chezea..
Back
Top Bottom