Search results

  1. Lunyungu

    Mwaliko wa Vatican: Je, Mama kumsujudia Papa kwa kuibusu pete yake?

    Tuupe ukweli muda nao utasema muda ukiwadia. Je, TEC watakuwepo ama wanajua yule mnangaji asiye vaa viatu kwa ku feki atakuwepo kuwananga?
  2. Lunyungu

    Mabadiliko yoyote unayofanya Rais Mpya kama hutogusa Jeshi la Polisi itakuwa kazi bure , utakosa uungwaji mkono wa wananchi

    Bro! You have a valid point hapa . Pia aondoe kesi za uongo mahakamani ili kuondoa msongamano wa mahabusu magerezani .
  3. Lunyungu

    ACT-Wazalendo Mkoani Lindi wazuiwa kumuombea Dua aliyekuwa Mwenyekiti wao Maalim Seif kisa Maombolezo ya Hayati Magufuli

    Yaani kisomo nadhani ni ibada kwa waislam na anasomewa muislam no matter what .Sasa hata heshima kwa imani za watu hakuna kwa sababu gani tena ?
  4. Lunyungu

    Buriani Rais Magufuli, nilikupigania sana hapa JamiiForums

    Unasema ? Hayo maneno tu anaongea azikwe naye ? Hapo alipo hatakia kusikia anaumwa sikio asije kwenda kuzikwa
  5. Lunyungu

    Buriani Rais Magufuli, nilikupigania sana hapa JamiiForums

    Chukua tano bro and am out !!!
  6. Lunyungu

    Buriani Rais Magufuli, nilikupigania sana hapa JamiiForums

    The good thing is this , Mama knows what has been troubling this country . Siamini kama anaweza kutumia nguvu kutugawa kama alivyo mwendazake .
  7. Lunyungu

    Buriani Rais Magufuli, nilikupigania sana hapa JamiiForums

    Big No . Kaacha alama ? Alama ipi ? Alam hiyo iko wapi ? Mimi nitamkumbuka kwa kuharibu Uchaguzi wa Mwaka jana kwa upi mengin ni shida hata kuyaandika . Pia aliingia kanisani kugombana na kanisa lake nayo ni alama hii kaacha true
  8. Lunyungu

    Malalamiko hayatoshi tusinunue vocha

    Oops!!!!!!!
  9. Lunyungu

    Malalamiko hayatoshi tusinunue vocha

    If you wanna meet cowards then visit Tanzania you will be surprised .
  10. Lunyungu

    Malalamiko hayatoshi tusinunue vocha

    Tutangaze mgomo wa hii bidhaa . CCM wanajimaliza kwa mambo kama haya .
  11. Lunyungu

    Malalamiko hayatoshi tusinunue vocha

    Sure Msimamo tu
  12. Lunyungu

    Utumwa wa Tume ya Uchaguzi Tanzania: Wasemavyo Maaskofu wa TEC

    CCM to them Tume Huru ni kama COVID 19 na wao wanajua once that allowed the struggle will be huge . Any changes to have Tume Huru means maongezi pia juu ya ushiriki wa Polisi katika changuzi zetu . A very bitter move and CCM cannot afford it .
  13. Lunyungu

    Utumwa wa Tume ya Uchaguzi Tanzania: Wasemavyo Maaskofu wa TEC

    Pascal Mayalla, Shalom Mayalla au Njaa in the voice of Jiwe . Nimekusoma nadhani you are making a lot of sense
  14. Lunyungu

    TCRA kulazimisha laini moja tu kwa kila mtandao kwa Raia si sahihi!

    Kwani nikiwa na line 3 Serikali inapoteza nini?
Back
Top Bottom