Ahsante sana CHADEMA.Ahsante sana makamanda:mbowe,Slaa na timu yenu...Ahsante wana wa Arusha na Arumeru..Nyinyi ni mfano wa kuigwa hapa Tanzania..Maeneo mengine tujifunze ili 2015..magamba yaozee kwenye miili.Tuchukue nchi yetu na kuirejesha Mahali pake
Tafiti za migomani hizo...subiri j3..Mkifanya ya REDET..ninyi na vikampuni vyenu vya tafiti feki yatawakumba..no ufadhili...wakati wenyewe ni ombaomba ili muendeshe viutafiti visivyoeleweka
.........................
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.