Naiona Tanzania ikiwa zaidi ya Zimbabwe. Huu mfumuko wa bei ndio umeanza kuelekea huko. Unga wa mahindi kg 1 ni Tsh 2000 na zaidi kwa baadhi ya sehemu.
Kumekuwa na katika katika ya Umeme kwa muda mrefu bila taarifa. Maeneo mengi ya jiji la Dar Umeme unakatika kuanzia asubuhi hadi jioni.
TANESCO tufahamisheni kama ni matengenezo ya kawaida ni mgawo ili tuwe na ratiba.
Huo Umeme mnaojivunia nao kwamba upo wa kutosha uko wapi?
Sent using Jamii...
Nashukuru ndugu kwa kunielimisha. Lakini sijajua hoja ya utapeli imeingiaje hapo. Siyo kila anayeuza anakuwa tapeli. Lugha nzuri inakufanya uonekane msomi zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiwanja kinauzwa kipo Jijini Dodoma -Swaswa, Mtaa wa Kidongo Chekundu.
Ukubwa wake ni 25 × 30
Bei 7M.
Maongezi yapo
Hakijapimwa.
Mawasiliano. 0716 979912
Sent using Jamii Forums mobile app
Jimbo kuu ni Jimbo kiongozi (Archdiocese ) linaongoza majimbo kadhaa chini yake. Tunaita Kanda au Metropolitan. Askofu wake anaitwa Archbishop au Askofu Mkuu. Zipo Metropolitan (Archdiocese) 6 na hii mpya itakuwa ya 7. Arusha, Dar es Salaam, Dodoma, Mwanza, Songea, Tabora na hii teule ya Mbeya
Kwa waraka huu wa Mh. Meya wa Ubungo ni aibu kwa serikali yetu na CCM.
UBUNGO NA JIJI LA DAR ES SALAAM INAVYOATHIRIWA NA HUJUMA YA UKWAMISHWAJI WA MIRADI YA MAENDELEO KUTOKA BENKI YA DUNIA
Assalaam Alaykum Ndugu wananchi wote. Napenda kuchukua nafasi hii kuwajulisha juu ya kukwama kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.