nimefanya kazi pale,ipo hivi hiyo 180000 unalipwa wakat wa training ambayo haitazidi miezi miwil,ukiajiriwa unalipwa basic 340000,na unakua unapata bonas kutegemea utendaji kazi wako.binafsi mpaka naacha kazi nilikua napata gross almost 1.6m na net 1.1m.kiukwel katka microfinance banks za hapa...
mkuu ni jukumu la loan officer kutafuta wateja mwenyewe.ingawaje zipo bank na taasisi chache ambazo wateja hawatafutwi na afisa.na mara nyingi ni mikopo ya wafanyakzi.lakini ya wafanya biashara ni juu yako afisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.