TCRA pamoja na haya makampuni ya simu ya Tanzania (Tigo, Vodacom, Halotel, Zantel, Airtel,ttcl), miongoni mwa wateja wenu kuna hawa wenye mahitaji maalumu ambao ni viziwi kiasili. KIZIWI maana yake ni mtu ambae hawezi kuwasiliana kwa namna yoyote ile kwa njia ya sauti zaidi ya video call na sms...
Nipo nasikiliza nyimbo ya dini tumeletewa ya huyu msanii, hii nyimbo unaweza kufundishia mavyuoni kabisa na wanafunzi wakakuelewa nini ambacho mwalimu umekusudia kulenga.
Kuna ile inaitwa heshima kaimba na chelea Man, jamaa anaimba vitu matured kabisa.
Kocha wa timu ya Manchester united ameutaja mlima kilimanjaro wakati akiongea na wachezaji wake kuhusu timu yake kukaa kileleni.
Nadhani hii itaweza kufungua kuongezeka kwa fursa za utalii kwa kuzingatia kuwa timu ya Manchester United ndiyo timu inayoaminika kuwa na mashabiki wengi duniani...
Naibu Waziri Ummy Nderiananga amegundua gesti bubu maeneo ya Tandale ambako walemavu wamehifadhiwa huko kwa minajili ya kufanywa kitega uchumi.
Mmiliki wa gesti hizo amekimbia baada ya kujua Serikali imegundua dangulo hilo.
Mwisho operesheni hiyo imeenda sambamba na kuwakamata na kuwachapa...
Kwa wale wabishi wenzangu wa kilimo cha kutegemea mvua,waliothubutu kuweka mbegu za mahindi tukutane hapa ili tupeane updates mbali mbali.
Mimi nilipanda tarehe za mwishoni mwa mwezi october na sasa nalima palizi ya kwanza na mahindi yanaendelea vyema kabisa sijajua huko mbeleni.
Shamba ni...
Leo nimetembelea shambani kwangu nimekuta baadhi ya miche ya mahindi ina hali hii,kwa wataalam naombeni mnijuze hali hii ya kutoboka majani inasababishwa na nini na nichukue hatua gani za haraka
kuokoa mahindi yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi wadau nimejaribu kuwaza....mara paap babu Mwasapile kaibuka na kikombe cha Corona ni vipi tutaachia wagonjwa kutoka China na nchi nyingine waathirika wamiminike nchini tupige bingo la utalii wa matibabu au tutaacha babu na kikombe chake aende nchi itakayokuwa tayari kumuhifadhi atoe huduma...
Nipo kwenye daladala hapa Buguruni Makumbusho. Kuna mabishano kati ya konda na abiria kuhusu yupi bora kati ya mvuta sigara na mnywa pombe.
Konda anasema mvuta sigara ni bora maana akishavuta anapiga mswaki anakuwa fresh ila wanawake wanampinga wanasema mvuta sigara anaboa mana mwili unanuka...
Hii stand ya makumbusho imekuwa ni kiungo muhimu cha usafiri kuelekea sehemu mbalimbali za mji huu Dar es Salaam.
Lakini kinyume na umuhimu wake naona imesahauliwa kabisa kwani maendeleo ya miundombinu ndani ya jiji hili ni tofauti kabisa na miundombinu ndani ya stand hii muhimu.
Mashimo...
Ile tabia ya kujifanya unatoa nyimbo mpya kila siku ndio haswa imemponza huyu msanii na kujikuta kuishiwa uwezo wa kutunga nyimbo mpya ili kuweza kukata kiu ya mashabiki wake.
Hili suala la kugelezea kazi za wasanii wenzie wa kimataifa rejea nyimbo ya Soapy ni dalili ya wazi kabisa kuwa msanii...
Shuhudia huyu dada askari wa kike akiwa katika sare za jeshi akibeba mifuko ya sementi katika kuunga juhudi za ujenzi nadhani utakuwa wa kituo cha polisi hapo kwao.
Hakika huu ni mfano wa kuigwa.
Hili nimelishuhudia Mara nyingi sana pindi ninapokuwa safarini mikoani kwenye shughuli zangu.
Mosi,utakuta dereva anatembea mwendo mkali,kufunga breki za kushtukiza na vitu kama hivyo,lakini pindi akitokea abiria akaenda kumtadharisha Kwa huo mwenendo wake basi dereva atasusa na kutembeza bus...
Msanii huyu anaejinasibu kama msanii msomi kuliko wote na mwenye ndoto za kuwa Rais amewafananisha wanawake wasiojitambua sawa sawa na wanawake wenye ulemavu Wa akili.
Yapasa aombe radhi Kwa kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimefungua Uzi huu maalumu Kwa minajili ya watu wenye kuhitaji kufanya kazi za deiwaka Kwa usiku Tu na Kwa wale wenye kuhitaji wafanyakazi Wa kufanya kazi usiku Tu.
Kuna watu kwa mfano watumishi Wa serikali ambao baada ya muda Wa serikali wana muda mwingi Wa ziada hivyo wangependa kujiongezea...
Kiwanda cha kuzalisha sementi cha Dangote kimemaliza mchakato Wa kusimika vinu vya kufua Umeme Kwa kutumia Gesi.
Ikumbukwe kiwanda hicho kilikuwa kinatumia maelfu ya Lita za dizeli kutoka nje ya nchi kuzalisha Umeme sasa kiwanda kitatumia Gesi ya hapa hapa nchini kuzalisha Umeme badala ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.