Habari zenu Wakubwa. Naomba msaada kwa wataalamu. Vipi naweza ku download You tube video katika simu Nokia C1-01. Ikiwa inawezekana, jee nipitie hatua gani? Thanks.
Watanganyika ni waoga wa kila kitu. Kazi yao ni Domo reeeefu bila ya vitendo, maneno meeeengi vitendo vichache. Usishangae ndio maumbile yao, ndio maana wakaitwa Wadanganyika. Mtanganyika aliyebaki ni mmoja tu Mch. Mtikila. Wengine wote ni Nguvu mdomo tu. Eti waache wao wadai, itakayobaki ndio...
Kwa maelezo yako Mkuu, inaonyesha kama huishi TZ au si mfuatiliaji wa mambo yalivyo nchini mwetu. Kwa taarifa yako Balozi Iddi ni mbunge wa kuchaguliwa wa jimbo la Kitope katika nchi ya ZNZ. Vile vile ni mwakilishi wa kuteuliwa na Rais wa ZNZ, kwa maana hiyo anaweza kuingia katika BLW na Bunge...
ZANZIBAR ni nchi na itaendelea kuwa nchi. Nani alikwambieni muiue Tanganyika. Mwenye wivu ajinyoge. Mtabaki kulia tu Wadanganyika. Kelele za mlango.........................
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.