huyu Mzee Balozi Mstaafu ni mtu muhimu sana ndani ya ccm ni trustee wa chama, ni mtu mwenye sauti. Lusinde huyu hana undugu na Lusinde wa matusi aka Kibajaji cha mchina. Lusinde alioona nimehama ccm kwenda CDM aliduwaa sana nadhani sasa ameanzxa kuona kwamba uamuzi wangu ulikuwa sahihi kuja...
ndo mwone tunaposema vyeo vya kupeana vina madhara jamaa ni mteule wa RIZ1 na mshua anamkubali ona sasa kiburi chake anamdharirisha hivi. Mwanasheria ana kuwa na kesi nyingi sana angempa taarifa mapema ajiandae lakini siyo kumuambush tu kiasa JK an Riz1 ni marafiki zake. Mwisho wenu 2015
TZ: Someni gazeti la Jamhuri, Toleo la Jumanne Agosti 14-20, Toleo Namba 39, Utaona Umakini wa TUNDU LISSU. MAKINDA NA JOB NDUGAI AIBU YENU MAANA MNADHANI WABUNGE WA UPINZANI WANALALA OVYO NA KULEWA DODOMA, WANASOMA, WANAFANYA UTAFITI, WAPO VERY BUSY KWA MASLAHI YA NCHI. NAMPONGEZA SANA TUNDU...
M4c daima na tunaendelea kuchanga mpaka kieleweke na tupo wafanyakazi wa idara nyeti za serikali tunachangia kwa sana. Nape na mkama mjinyonge sana mapema kama ikiwezekana
NDO TUNATOKA HAPA MAHAKAMANI mAHALU KASHINDA KESI, ILIKUWA NI KESI YA KISIASA jk KUPIMANA NGUVU NA mKAPA, jk KACHEMKA LIVE NA HUO NDIO MWISHO WA FITINA HUWA AIBU
acheni kujadili urais tujende chama tufungue matawi sana, hapa dodoma matawi hata wilayani bado shida, ninachokiamini cdm 2015 ikulu muhimu na hata kama tutasimmisha jiwe tutalipigia kura maana chadema lazima iingie ikulu
Napata furaha sana kuona wapo vijana waliojitolea maisha yao kupigania haki, uswa na utu wa mtanzania. Naomba viongozi wa dini, dhehebu analotokea lema, maaskofu, mitume na manabii akina mwingira, gwajima huyu kijana afunikwe na wingu la utukufu wa mungu.
Natangaza rasmi hakuna silaha...
mungu akiwa upande wa cdm nani aliye kinyume nasi? Fitina, hapana, uchawi hapana, ruiushwa hapana, hapana nasema hapana cdm inaunganisha watanzania woooote karibuni dodoma wakati wa bunge tufanye mabadiliko makubwa sana
umekosea Mzee Balozi Lusinde na huyu Lusinde Mitusi hawana undugu wowote ule na Balozi yeye watoto wake wanfanay kazi hawajui what is politics huyu mzee hana uroho ni mwadilifu ni rafiki yake sana Nyerere na mara kwa mara anawachana live ccm kwamba wamepoteza dira. Ila list nyingiine kweli ccm...
Mnachekesha sana hamna kazi za kufanya? Simwokote makopo muuze? Eti maandamano ya kumpongeza nani? Kwanini? Kwa lipi? Acheni siasa ebu fanyeni kazi jengeni uchumi kama ni kulaani wezi na kuwafikisha mahakamnaii siku wanapanda karandinga tutaandamana kama idadi yao wote watapelekwa kisutu mahakamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.