Jamani mimba kuibeba miezi 9 si mchezo namshukuru Mungu kwa afya njema baba mtoto wangu,familia yangu na yake kwa support mpk kipindi hiki ninachotarajia kupata mtt. Big up kwa wamama waliolea mimba peke yao bila support ya baba watoto cjui ht wamewezaje kwa kweli.
Wanaume wenyewe malioo kibao wengine wameoa kumbe nyuma ya panzia mashoga,wakipata wanawake wenye kipato wanakua nae kwa c kwamapenz bali apate tu pesa bila kujali hisia za mwanamke na still wanatudharau eti tunajiuza, kama unaona hatuna mapenzi ya kweli acha kujishughulisha na mapenzi.
Itakuwa kweli kapewa angekuwa anakucheat ht cm usingegusa inatakiwa umuamini vitu vidogo tena alivyokuja navyo home haviwez kuwa sbb ya kumfikiria vby.
Km hakuweza kukuvumilia kidogo tu ulivyoenda kusoma sijui kama hiyo ndoa ataiweza tatizo tamaa zimezidi mpk kaingilia kwenye ndoa za wengine, haya km unamapenzi ya kihindi mfichie aibu yake.
Hahahaha umenikumbusha mdada mmoja alimwambia mwanae akalale mtoto akajibu ahaaa mnataka nikalale muanze uchafu wenu eeh, ss mtt wa miaka 5 kajuaje km huo ni uchafu au lah, akianza tu kuongea ahamishwe lah sivyo majanga.
Hapana Ayanda niliachana nae long time kabla hata sijapata mchumba baada ya kuona si mtu sahihi kwangu na alitaka turudiane kabla hata sijampata nilie nae na kwa wakati huo sikuwa nimewaza kuhusu ndoa maana nilikuwa bado binti mdogo now nimekua vya kutosha kuwa na familia yangu thats why...
Umenikumbusha mbali sana mtoa mada.
Niliwahi kuwa na mahusiano for 5yrs lkn sikuwah kutambulisha kwa ndugu zaidi ya friends wachache,simu nipige mm nikipigiwa basi siku hiyo anataka sex,kwake sijawahi kwenda mchana ni usiku tena kwa masaa machache maana inaweza kuchukua hata miezi mi3 kuchuniwa...
Ushetani tu umewajaa km unaona maisha magumu unamwaga shahawa za nn? Akikuomba mtumie condom hutaki mimba ikiingia unadai mko wengi mwanzo haukumuona km anaowengi na wala hukuwaza ukimwi. Kabla haujamfata dada wa watu jipange kwanza mwanaume hakimbii majukumu.
khaa ht ningekuwa mm ningekimbia maana hata wanyama wanapumzika ulishamfanya mwenzako sexy machine halafu unaona sifa kwa style hiyo usipopata madhara basi iko siku utafia kifuani
Mficha maradhi kifo humuumbua kinacho mfanya aone aibu ni nn wkt hospitali ziko kwa ajili yetu ningekuwa mimi hata nanihii nisingempa mpk twende hsptl kujua tatizo, kama mwanamke najua utakuwa unauwezo wa kutumia mbinu zote kumfanya aende maana ugonjwa utakuwa sugu la sivyo atakuwa haumwi...
maendeleo ni juhudi zako binafsi wewe ukiwa na hela oa huyo mzungu halafu ukifanya mistake mkaachana jiandae na kulipa fidia kibao muulize Tiger Woods maana angekuwa rangi nyeusi angemsamehe tu mumewe
Mtoa mada umenigusa maana kama me napendana sana na mchumba wangu na nimekubali kubadili dini japo dini yenyewe sidhani kama nitaifata nikishaolewa maana itakuwa ngumu sana but hopes tutaishi vizuri ilimradi tuna hofu ya Mungu.
i wish ingekuwa rahisi km unavyofikiria km kuacha kuwa na uhusiano ingekuwa rahisi usingerudia kutafuta wapili na watatu after kutendwa na wakwanza so hayo ni machungu tu yataisha ukipata wa nne cha msingi jiulize kwanini unatendwa usikute unakasoro zako ambazo wanashindwa kukuvumilia.
Pole sana dada huna la kufanya maana ni mama yako kama umeweza kuwa single mum na kulea watoto wako na wandugu yako sidhani kama kuendelea na maisha utashindwa piga moyo konde chukua hiyo kama challenge na fanya kama zawadi kutoka kwa mtoto kwenda kwa mama kumbuka hicho kiwanja si mali yako ndio...
Me naona kama mtu kakusaliti si riziki yako Mungu hakupanga uwe nae lazimisha uone cha moto cha msingi mtoe mawazoni tu kwani pesa siyo inayoleta furaha katika mapenzi watu tumeshatendwa sana unaumia,unafungua moyo kwa watu wengine unapendwa mpaka unasahau kama ulishapenda huko nyuma ujiue kisa...
Yani wewe kaka umemuharibia sana maisha mwenzio tena si yeye tu bali umemkosesha haki huyo mtoto malaika asiye na hatia, huyo dada kukubali uongo wako mpaka kukuamini alijua baada ya kosa la kuzaa na mume wa mtu na kutengwa na familia akategemea atapata ndoa halali kwako na believe me kwa...
hakuna marefu yasiyo na ncha nadhani sasa tunaanza kuona faida ya vyama vingi kidogo kidogo tutafika watanzania siyo wajinga kama zamani tuliokuwa tunadanganywa na wanasiasa wachache ukitaka kugombea lazima ujipange ni wakati wa action pole mafisadi i wish tungekuwa na sheria kama za china.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.